Picha yangu ya Leo. Hongereni sana mliofika hapa

Picha yangu ya Leo. Hongereni sana mliofika hapa

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Hongereni sana mliofika hapa
Usajili wa E ushaanza mda kumbe

IMG_20220903_084023_162.jpg
 
Jana nilikuwa kigamboni barabara ya darajani nimeona namba E karibia gari 6.
 
Hizi herufi kazi ipo aiseee…….. Hata kama gari ni mtumba (used) wa mwaka 1995 ikiingia leo bongo inapewa namba ya kuanzia na E..
Hizi namba hazi reflect upya wa gari bali zina reflect mtumba umeingia lini bongo.
 
Sidhani kama namba inareflect ubora wa gari,ila ni siku gari imeingia nchini tu..........aliyenunua zero km na aliyenunua mtumba km1000 wote ni E
 
Sidhani kama namba inareflect ubora wa gari,ila ni siku gari imeingia nchini tu..........aliyenunua zero km na aliyenunua mtumba km1000 wote ni E
elewa mada.
otherwise asante kwa mchango
 
Back
Top Bottom