Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Tatizo wewe huaminiki😂😂Jana nilikuwa kigamboni barabara ya darajani nimeona namba E karibia gari 6.
East African Airways
Gari la lako au umechukuwa picha na ku-post bila idhini? Maana wabongo akili zetu tunaziweza wenyewe.
elewa mada.Sidhani kama namba inareflect ubora wa gari,ila ni siku gari imeingia nchini tu..........aliyenunua zero km na aliyenunua mtumba km1000 wote ni E