Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
๐ ๐ ๐ ๐ Aiseee
Wakiwa South Africa au China?
Fang Li hajaishia kupalilia barabara tu, amepalililia mpaka wake za watu๐คฃ๐คฃ
Bongoland๐Wakiwa South Africa au China?
Naam mkuu
Ona hapo juuNaam mkuu
Huyu mtoto wetu mchina?๐Ona hapo juu
Kitanda hakizai haramu
Nakubaliana nawe, Ila Jamii haitoacha kukusema ( Kukuteta ).Hakuna ubaya. Mtoto wako sio lazima awe 'biological'. Unaweza kuasili mtoto aliezaliwa na wazazi wengine au kuoa manamke/kuolewa na mwanaume ambae ameshazaa na mwanamke/mwanamke mwingine.
Automatically huyo mtoto anakuwa wako. Kipi cha ajabu hapo?
Ndio ukweli huo. Ila wengi wanaamini kuwa wanalelea watoto wao kumbe ni watoto wa watu wengine.Nakubaliana nawe, Ila Jamii haitoacha kukusema ( Kukuteta ).
Hapo labda nitoe sahani tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji1493][emoji1493][emoji1493]