Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bashite alivyoiba kwenye bunge la katibahuyo sio muhuni ni mwizi wa simu.
wasiojitambua ni chadema wanaofikiria kuwa watashinda uchaguzi wkati hawana wapiga kura wana mashabiki tuuTruth will set you free. Jitambue kwanza.
Hajafanya lolote , 'kosa' mwanachama wa upinzani. Wahuni ccm na roho zao mbaya na dhana hovyo kabisa eti wao ndio wamiliki wa nchi mwisho wataitumbukiza Tanzania kwenye machafuko.Nilishaulizaga huyu mtu ni nani, alifanya nini hadi hawa waliovaa kijani kumwandama hivyo, na mwisho wake ulikuwa nini? Msaada tafadhali
Kwan ccm wanaofisi zao au nizile walizopata kutoka kwa wakoloni.Si Mjenge Ofisi??
Aliyetoa wazo la kuwanunua wabunge wa Chadema sijui huwa anajisikiaje huko aliko,CHADEMA utadhani ni chama tawala.
View attachment 1525879View attachment 1525880View attachment 1525881View attachment 1525882View attachment 1525883
Umetumia neno "utazani" 😂😂😂CHADEMA utadhani ni chama tawala.
View attachment 1525879View attachment 1525880View attachment 1525881View attachment 1525882View attachment 1525883