Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😂🤪Mataga 80% wangetamani wajiunge na chadema[emoji39][emoji111]
Mnashangilia picha
Hongereni lakini!
Uwepo wa upinzani hasa upinzani unaojitambua Ni kichocheo Cha maendeleo!
Adabu ipi Tena unaitaka kwangu?Haya yote magufuli anafanya ni sera na ilani za chadema toka 2005.
Kama siyo chadema haya mambo anayo fanya magufuli tusinge yasikia kabisa..
Ebu kuwa na adabu unapo ongea mbele ya chadema[emoji1][emoji39][emoji111]
Bora auze maji akiwa na bendera pendwaView attachment 1528087
Nyingine Hizi zinawapa shida kweli.
Kutoka kwa mashangazi.
View attachment 1528148View attachment 1528149View attachment 1528150
[emoji3][emoji3]Naipenda Tanzania ya chadema[emoji111][emoji39][emoji1]
Haiwezekani , Mangi Mlevi kuacha hela ya Pombe ikajenge ofisi.saccos ya Mangi awamu hii wajitahidi wajenge hata ofisi ya chama kwanza ni aibu! wanajinadi watailetea maendeleo nchi wakati chama hakina hata kibanda huu si utapeli [emoji23] halafu hizo unifomu utakuta mangi na akiuzia chama