Picha za jeneza za Ivan ila.....

Bro unazifahamu USD 150 mill lakin? Hiz pesa ni worth ya kufanya chochote especialy kwetu huku africa,..ni pesa nyiing sana..usione mtu anaztaja tuu or ku type tuu USD 150mill..
 
Ndio ndio
 
Kitu ambacho nabisha ni kwamba jamaa anadaiwa tsh tillion 3 ambaya ni sawa na USD 150 kwa biashara ipi akina bakhresa na utajiri wake wote hajafikia tirion moja apo kuna maswali mengi ya kujiuliza hizo story ni za uongo laba kama ni billion tatu
 
Watu Wana Fake Deaths in so Many ways,Bt Hyu mtu kaDanja ila ni ugumu Wa Nafsi za watu tu B'se wtu maarufu Wengi huwa Cases zao za vifo zinahusishwa na mambo mengi..Kanumba, tupac, ManDelA n.k
Finally ukimya hutawala na nDipo watu huelewa,ila kwa ss lazima Presha iwe kubwa
 
Si dhani kama kweli kafake ila labda presure ya kudaiwa ndio inaweza kumuua hiyo picha mbona maiti kweli jamani na mshono wa kichwani
 
Maisha ya Bongo sasa hiv yamekuwa complicate,
Hasa ukichanganya na mambo ya Internent.
Watu tupo serious we unatuektia----DARASSA- Hasara Roho
huyo Ivan awe amefake death au ni mzima we m'bongo inakusaidia kitu gani..?
 
Bro unazifahamu USD 150 mill lakin? Hiz pesa ni worth ya kufanya chochote especialy kwetu huku africa,..ni pesa nyiing sana..usione mtu anaztaja tuu or ku type tuu USD 150mill..
Huyo hawezi kuwa "brother" mabrother huwa hawaandikagi ujinga namna hii.
na kama atakuwa "brother" ni wa Dar
 
Umesema kweli mkuu na ndivyo ilivyo hata local wanafanya hivyo
 
Maisha ya Bongo sasa hiv yamekuwa complicate,
Hasa ukichanganya na mambo ya Internent.
Watu tupo serious we unatuektia----DARASSA- Hasara Roho
huyo Ivan awe amefake death au ni mzima we m'bongo inakusaidia kitu gani..?

We ndiyo tafsiri halisi ya m`bongo. We kusoma uzi unaomzungumzia Ivan na hutaki kujua habari zake imekusaidia nini??
Sizitaki mbichi hizi!!!
 
Kitu ambacho nabisha ni kwamba jamaa anadaiwa tsh tillion 3 ambaya ni sawa na USD 150 kwa biashara ipi akina bakhresa na utajiri wake wote hajafikia tirion moja apo kuna maswali mengi ya kujiuliza hizo story ni za uongo laba kama ni billion tatu
usd milioni 150 ni bilioni 300..
 
Mange anawachanganya sana na yule zari alienda kumsalimia kule hospitali alikuwa fake au ivan amekufa mbona watanzania mnavipaji sana vya kutunga mambo huki muangalia ivan akiwa hospitali kama walimpasua kichwa itakuwa aliaribika kweli
chanzo chako huwaga ni Mange??Iam smart enough kusoma magazeti ya Uganda online na kufatilia gossips sites zote za Uganda,sijashikiwa akili na idiot yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…