Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
- Thread starter
- #41
Thats the first thing that hit my eye when I saw this pic...hio simu jo!...Mambo ni digital siku hizi.
Inaonekana Kabarnet bado maendeleo hayajafika mazee...lo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It doesn't
Ni kukumbushana tu mkubwa.
Nilifikiri haapi kwa biblia badala yake anaapa kwa katiba, kumbe biblia anashika mkewe? Huyo anakwenda kuigeuza ikulu kuwa mali ya familia kama alivyofanya Kikwete.
Thats the first thing that hit my eye when I saw this pic...hio simu jo!...Mambo ni digital siku hizi.
Inaonekana Kabarnet bado maendeleo hayajafika mazee...lo!
And negation of negation is positive hence it doesn't make no sense means it makes lots of sense......
mkuu mbona hujakosoa na hiyo"no" maana ni kama nimekanusha mara mbili!!that's hiphop american english brethren.
exposure yako imeishia kwenye british english..poor youJibu lako lipo hapo juu. Nilijua umekanusha mara mbili, nikafikira yawezekana ni wale watu wanaorefusha mambo. Kwa mfano: Unasoma kidato cha ngapi? Mtu anajibu ninasoma kidato cha kumi mara sita gawanya kwa kumi na mbili [10X6)/12] badala ya kusema kidato cha tano. Kwa hiyo sikuhangaika na content ila structure.
exposure yako imeishia kwenye british english..poor you
mkuu tusameheane..asante kwa darasa anyway.Hey! What's a motive behind this extended discussion. Do not blame me, blame yourself or your teacher for your poor English grammar. I'm not here to argue with you because I thought that you overlooked it. However, by using your efforts to oppose me indicates that you really do not know what you wrote. If you think that 'It don't' is correct, it is up to you. Please, mind your our business and keep on it!
Anajuwa kwa nini hataki kuapa kwa kushikilia BIBLIA nasi tunamuunga mkono asishikilie BIBLIA maana anajuwa ukweli wote
asante