Picha za kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta na akiwa kazini.

Picha za kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta na akiwa kazini.

Wangemuacha akaenda kumpa shavu convict mwenzake.soon uhuruto nao watakuwa kama bashir.
 
o ooo M7 anaiponda ICC live, anasema ina racism na westerners wanaitumia kuweka maraisi wanaowataka hapa Africa....
 
Anaiponda ile mbaya! Anawapasha ni nguvu za westerners kuchagulia Africa viongozi! Na hatakaa akubali ICC In Uganda, ameuliza where were they wakati waganda waliuwawa miaka ya nyuma? Anawashukuru wakenya kuwaonyesha ICC hawachaguliwi nani kiongozi
 
Ila kwa TV Bible alikuwa kaishika mwenyewe naona alisikia maonyo ya watu juu ya kutaka mkewe ashike Bible
 
ana hatari kweli mzee M7 kujitafutia ugomvi na wa west tu kwa ajili ya ICC. halafu Kabila upo pale anamsikiliza.....
halafu mzee kasema hivi nyie watu wa west Pokot mwache kumuibia ng'ombe zake....
 
huyu jamaa nikiunganisha na 'vicheko' vya William Ruto ambaye ndiye anasemekana 'kumpa' urais nakuwa na mashaka na mustakabari wa nchi hii iliyo maarufu kwa utalii
 
Anamdanganya uhuru,asiudhurie kesi yake.hapo ndipo ataijua ugumu wa kuwa fugitive president.mseveni mnafiki tu.
 
Kenya wamechagua majanga mawili kutawala kwa miaka mitano wajiandae kupiga reverse
 
Wimbo wa taifa wa Tanzania kachezwa katika shughuli ya kitaifa ya kenya?
 
Mumchague halafu mumkatae?this is full of nonsense
 
Back
Top Bottom