Nilifikiri haapi kwa biblia badala yake anaapa kwa katiba, kumbe biblia anashika mkewe? Huyo anakwenda kuigeuza ikulu kuwa mali ya familia kama alivyofanya Kikwete.
Kulingana na Katiba ya Kenya,,,ni,,utumie Biblia kama wewe ni mkristo,,
na Korani kama wewe Muislamu,,,etc,,,
Lakini ameomba eti mkewe amsaidie kuinua juu na yeye (Kenyatta)
kuinguza na kutamka maneno ya kiapo.
Sasa hiyo,,tunaitanga:wink:,,,,,stairo,,,styro2013,,,,kamarembesho
kamarembesho na hakuna sinda,,,,,,,,,,,na change si
ni better than,,,,,,,,,,
Mabadiliko ndio imemuezesha muanadamu akafika pale yuko.
Tungekua wapi bila mabadiliko,,,,,,Savannah land,,,,,tukiruka
ruka,,,,
Jaji mkuu wa Kenya,,aliposhika ushukani miaka miwili naaa,,,
alikataa yale mavazi ya kikoloni,,,yaani wigs kicwhani na
nguo za zamani ambazo zilitisha.
Sasa majaji hawavaii hivzo wigs,,,na mawakili,,,, wanafaa
kuvaa suti tuu,,,,,,lakini ukiwa wakili,,,,nimapenzi yako,,,,,
ukita kutokezea kortini kama comedians na mavazi hayo
ya kiingereza,,,,,,hiyo ni sindaaaaa,,,yako,,,
Haya ni mabadiliko,,,,,tunaendelea kutoka,,,,pole pole
,,,,,,,,,,ukoloni,,,,,,,,,,,,
Hata hii katiba,,,,,,, ilitengenezwa na wa Kenya 2010.
Hallelujaaaaaaaaaa.
Kwahivyo,,,,sijasikia kama iko yeyote hapa Kenya,,,
akawa na shida Uhuru Kenyatta,,,,,,,,
Sisi wana njumbiriiii tuko,,ngangare,,,,,,,,,,tunataka
mambo yaende kiusawa,,,,sis wote,,hata CORD
wako ndani yake,,,,,,hata wakijirusha rusha juu,,eti
hasira,,,hakuna mahali wanaenda,,,,watarudi,,tuu,, chini,,
kwani unafikiri wanaenda wapi,,,pruto,,,,havaaaana,,,,,,
kwani hizo Laptops,,,zitakapo tolewa,,,,,watoto wa CORD hata
wao si watapata.
Tuacheni siasa duni na tuendereeeee na styro 2013.
Si kuregarega styro 2007 with half everything,,,,?