Picha za kwanza za mjane wa Rais wa Haiti akiwa hospitalini Florida

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mwanamama mjane wa rais wa Haiti Jovenel Moise, Martine Moise 47 akiwa kitandani Hospitalini Florida Marekani.



Kwa majonzi amewalaumu maadui wa mume wake kwa kumuua kikatili bila hata kumpa fursa ya kuongea. Martine anasema wamezima ndoto ya Jovenes kuleta huduma za kijamii miundo mbinu ya barabara, maji na hospitali.



Rais Jovenel Moise na Martine walikuwa kwenye ndoa kwa miaka 25. Walifahamiana miaka 30 iliyopita na kuanzisha biashara yao ya magari na spare ambayo baadaye ilifanikiwa kuwa kubwa na mafanikio.

Martine anaumia sana kwa sababu hajapata hata fursa ya kumuaga mme wake.

Mungu amfanyie wepesi na faraja.

'You have to be a notorious criminal without guts to assassinate a president like Jovenel MoΓ―se with impunity without giving him the chance to speak. You knew who the president was fighting against,' she said.
 
Ndoto kama za meko.. kiufupi alistahili kutangulia kwa sababu alikuwa hasaidii wananchi ni kama meko tu .. mama akitulize ashukuru mungu wake au aende akatambike
 
Ndoto kama za meko.. kiufupi alistahili kutangulia kwa sababu alikuwa hasaidii wananchi ni kama meko tu .. mama akitulize ashukuru mungu wake au aende akatambike
Hapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
 
MADIKTETA wanaondokaga hivyo.
Umeandika stiry ya upande mmoja, upande wapili tupe sababu ya yeye kuuwawa/
 
aise kweli binaadamu wabaya.
afadhali hata wanyama kuliko sisi binaadamu, roho zetu zimekuwa katili sana sisi kwa sisi, ndio maaana Mungu hawezi kutuondolea majanga ya maradhi mbalimbali mpaka tubadilike tuwe na roho za kibinaadamu.
 
🀣 Mkuu kana kwamba unamlazimisha! Unamtaka nini..? Huu ndo muda wa kuonyesha upendo wako kwake mpelekee hata kauwa.
HaaπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Dogo nimefanananae aisee,Kama pacha wangu,kweli duniani wawili wawili,
Ila mbona umri wake na alichokifanya haviendani, alikuwa mlinzi wa karibu wa Rais au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…