kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,262
Ni mzuriMkuu yuko hai huyu mwanamama mrembo. Walimlpiga risasi ya mkononi na pajani akijaribu kuwazuia wasizidi kummiminia mume wake risasi. View attachment 1855680
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mzuriMkuu yuko hai huyu mwanamama mrembo. Walimlpiga risasi ya mkononi na pajani akijaribu kuwazuia wasizidi kummiminia mume wake risasi. View attachment 1855680
Mbao za mawe umepotea Sana mkuu.....Mungu amjaalie arudi kwenye hali yake ya kawaida.
Nilikuwa busy kidogo mkuu kwa kipindi kirefu lakini nilikuwa msomaji mara nyingi zaidi za mchangiaji.Mbao za mawe umepotea Sana mkuu.....
Pole na shughuli mkuu, karibu tenaNilikuwa busy kidogo mkuu kwa kipindi kirefu lakini nilikuwa msomaji mara nyingi zaidi za mchangiaji.
Nafurahia kuungana nanyi tena.
Wanadai kwamba master mind mkuu ni huyu acting president, pia serikali ya Colombia inadai hao mercenaries hawakujua kuwa wanaenda kumuua raisi hata.Hapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. View attachment 1855682huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
Akili za chadema hiziKitengo cha haki cha Marekani kimefanya kazi nzuri sana.Kilitusaidia sisi kumuondoa yule nduli wa Chato pia.Mungu bariki sana wazungu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]teh teh tehKitengo cha haki cha Marekani kimefanya kazi nzuri sana.Kilitusaidia sisi kumuondoa yule nduli wa Chato pia.Mungu bariki sana wazungu.
Mbona huyu ni AYHapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. View attachment 1855682huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
Sasa si ndio upuuze hizo taarifa za uzushi.....Kumbe yu hai! Mbona kuna taarifa zilienea kuwa na yeye alifariki muda mchache baada ya shambulizi.
Unahangaika kulijibu hilo taahiraHapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. View attachment 1855682huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
Ameshapona na aliondoka hospitalApone Haraka
Lazima uwaamini wanaokuzunguka, kukugeuka ni jambo lingineHapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. View attachment 1855682huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
Shangazi nawe umo[emoji15]Bash boy alopopigwa ban na Pompeo hakujua kuwa na yeye ilimhusu.
Hakujitolea lolote, miezi saba iliyopita walishaanza kuandamana kabla hata ya muda wake haujaisha. Muda wake ukaisha mapema mwaka huu yeye akadai eti baada ya Mungu haoni mtu sahihi wa kuongoza nchi, akataka aongeze mwaka mmoja tena.Hapana mkuu Jjovenel alijitolea sana kuwasaidia wa Haiti hata Wananch wa kawaida wanampenda. Tatizo aliwaamini sana waliomzunguka na ndio hao waliomsulubu. View attachment 1855682huyu hapa Dimitri miaka 35 tano tu ndo aloratibumauaji. Ndo alikuwa katibu mkuu kiongozi. Sasa hivi yuko mahali salama akiminywa
Mungu amjaalie arudi kwenye hali yake ya kawaida.