Picha za mastaa wa kiume watanashati bongo!

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
10,518
Reaction score
13,144
1.Ali kiba


2.Juma Jux


3.cyril kamikaze


4.Hemed Phd


5.Gerry


6.Izzo bizness


7.ommy dimpoz


UTANASHATI ni jambo kubwa sana kwa wasanii na watu wa kawaida. Mara nyingi utanashati humtambulisha muhusika namna anavyojiweka kuanzia nyumbani hadi katika mwili wake.

Hapa Tanzania kuna wasanii kibao ambao wamekuwa wakijitahidi kujiweka fresh kwa uvaaji wao na hilo limewafanya kujiongezea umaarufu zaidi katika kazi zao!
 
Ha ha ha, loooh! Kweli kaka tumewaona warembo wako haya asante.
 
 
Ukiona mdada kasifia utanashati wa mwanaume, basi wakuweza kumkosoa ni wadada wenzake.
 
Reactions: MC7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…