Picha za mastaa wa kiume watanashati bongo!

Picha za mastaa wa kiume watanashati bongo!

Najisikia homa.mwanaume mzima unapiga picha na camera 360,khaaa kichwa kinaniuma
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Deo Kithama hayupo? Na Fashioooni yote..
 
Wapi the king vocalist melody Christian Bella
 
1.Ali kiba
View attachment 378532

2.Juma Jux
View attachment 378533

3.cyril kamikaze
View attachment 378535

4.Hemed Phd
View attachment 378536

5.Gerry
View attachment 378537

6.Izzo bizness
View attachment 378538

7.ommy dimpoz
View attachment 378540

UTANASHATI ni jambo kubwa sana kwa wasanii na watu wa kawaida. Mara nyingi utanashati humtambulisha muhusika namna anavyojiweka kuanzia nyumbani hadi katika mwili wake.

Hapa Tanzania kuna wasanii kibao ambao wamekuwa wakijitahidi kujiweka fresh kwa uvaaji wao na hilo limewafanya kujiongezea umaarufu zaidi katika kazi zao!
namba 4 na 5 Wanafi.r...ana...iko wazi mtaani kwao
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hapa team nzima ya WCB inabid iwepo kweny nafas za juu, na mashaka na aliepost hii kitu
 
Wap Wasafii, mbona wamefichwa flan iv, kweliiiiiiii[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
Back
Top Bottom