Picha za mazingira yetu mazuri

Picha za mazingira yetu mazuri

20231028_122826.jpg
 
Ziwa lote hilo halafu tunasikia wakazi wanaolizunguka hawana maji ya kutosha na ni masikini.

Hakika umasikini wetu ni wa akili.
Nani wa kulaumiwa hapo dada yangu kipenzi

Ova
 
Nani wa kulaumiwa hapo dada yangu kipenzi

Ova
Wanaoishi kando ya ziwa, wamengoja zaidi ya miaka 60 je Mzanzibari kuwafunguwa akili? Mradi alioanzisha mama Samia, anachukuwa maji hapo hapo na mengine anayafikisha Dodoma.

Halafu unauliza nani wa kulaumiwa? Hakika Tanzania, hususan wa bara huku, adui yetu ni mmoja tu:

 
Wanaoishi kando ya ziwa, wamengoja zaidi ya miaka 60 je Mzanzibari kuwafunguwa akili? Mradi alioanzisha mama Samia, anachukuwa maji hapo hapo na mengine anayafikisha Dodoma.

Halafu unauliza nani wa kulaumiwa? Hakika Tanzania, hususan wa bara huku, adui yetu ni mmoja tu:

Wewe una budget ya kufanya mradi wa maji? Cha kulaumiwa ni sera mbovu za Chama Cha Mapinduzi
 
Back
Top Bottom