Picha za mradi wa LNG msumbiji.

Ngoja tuwekeze kwa wasanii
Tutatue changamoto zao
Maana ndiyo issue kubwa kwenye taifa

Ova
Samia hawezi kuhangaika na nyie tena,amewaletea mradi mnaleta masharti ya kisengerema.

Wanasanii Wana Ushawishi wa kura
 
Majadiliano yalikua yanakimbizwa sana kama yale ya DP, tulikua tunaenda kupigwa.

Mbaya zaidi timu ya majadiliano ilikua ikiongozwa na Februari, pale tulikua tunaibiwa mchana kweupe.
 
Majadiliano yalikua yanakimbizwa sana kama yale ya DP, tulikua tunaenda kupigwa.

Mbaya zaidi timu ya majadiliano ilikua ikiongozwa na Februari, pale tulikua tunaibiwa mchana kweupe.
Toka 2021 yanakimbizwa au? Mnataka mjadiliane Hadi lini? Ndio wansepa Sasa chimbeni wenyewe πŸ˜†πŸ˜†
 
Toka 2021 yanakimbizwa au? Mnataka mjadiliane Hadi lini? Ndio wansepa Sasa chimbeni wenyewe πŸ˜†πŸ˜†
No credibility hao wajinga unaowatetea humu kila siku, same people ambao wameshindwa kuruhusu starlink to operate kwa visababu vya kijinga kabisa, tuna watu bogus sana hii serikali na Nape ni mmojawapo
 

Kila mtu anataka yeye kwanza. Tusipokuwa makini huu mradi utakuwa hadithi za watu wajinga kama utashindwa kuanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…