PICHA ZA NJE NDANI BASI(MABASI 3)MAPYA YA SIMBA WALIYOPEWA LEO.KUDOS CEO



Simba itatuua kwa kisukari...sio kwa utamu huu.
 
Manara anajuta sana huko alipo

Eti yeye ndio kaipa simba umaarufu manina wakati sie ndio tumempa umaarufu sababu ya matokeo yetu mazuri
Alishapoteza ramani baada ya kuvuruga kwenye siasa. Simba wakamrudisha kwenye chati za umaarufu na hakujumbuka fadhila
 
Hakuna Maneno Isipokuwa Vitendo Ukweli
Eneo La Upashanaji Habari Simba Imeweza
Hakuna Maneno Ya Kuudhi Wala Kebehi
Kam simba wakiendelea hivi it means baada ya miezi 6 mbele kuna kizazi fulani cha kuwa na wasemaji wenye matusi kitakataliwa automatic na mashabiki kama vile makomandoo walivyokataliwaga
 
Yule Anajua Kuwa Amelamba Mav* Ya Mbuzi
Maana Kaondoka Alipokwenda Hatakiwi
Yule Wasimjibu Kitu Ila Wampuuze Tu
Anawaaminisha Jezi Mbovu Kumbe Kaichana
Hakika. Siku hizi anajijibu mwenyewe
 
Wawape mashabiki wetu waendee mikoani au liwe jwa ajili ya kwendea bunju kwenye mazoezi
Sahihi. Wanaweza watoza hata nauli ya kawaida tu ya abiria hadi mkoa fulani. Na baadaye wanaweza weka zones of fans na huko kuna kuwa na mabasi samples wanakwenda nayo kwaajili ya mashabiki. Itakuwa ndo timu pekee inayojali mashabiki wake. Na itaongeza sana washabiki. Kama watu wanaweza kodi basi kutoka mkoa mmoja kwenda mmoja wanashindwa nini kulipa kama nauli tu kuchangia timu
 
Neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…