OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,252
- 832
Aisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929
Simba itatuua kwa kisukari...sio kwa utamu huu.