Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
 
viongozi wakichaguliwa kuwa marais ili kutumikia wananchi, wanageuka kuwateka wananchi kwa kudhani kuwa wao siyo watumishi bali masultani na malkia waabudiwe kwa kupamba mapicha na bado muda si mrefu wataweka sanamu za Shaba kubwa kama za wafalme na malkia wa dola za kale.

1698153521026.png
 
Kila kiongozi na namna yake ya kuongoza watu, mambo haya aliye yahasisi anajulikana.
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Injinia Lucas mwashambwa umesikia hii?


Rais anapendwa sana mpaka anajadiliwa mitandaoni🤣
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
shangaa, yaani sijui tatIzo liko wapi, yaani vipaumbele ni ziro kabisa.
Utafikiri kampeni bwana!
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Billion 5 zimetuka kuweka kila mkoa hayo mabango
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Labda yeye ndo kivutio cha utalii kwa kuwa na riasi aliyefeli kila sehem
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Inaitwa kuuza sura
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Nchi ya punguani hii. Huo ujinga pia ameufanya sana Bashe huko Nzega. Huoni huo upunguani kwenye mataifa yaliyoendelea.
 
Maeneo ya Airport nikama uso wa nchi,nilitarajia yangetumiwa kimkakati kuitangaza nchi badala ya Rais.
Labda na huyo Rais wanamuuza kwa watalii. Anatafutiwa mnunuzi. Huwezi kuona huo ujinga katika nchi zilizoendelea. Huwezi kuamini kama mtu mwenye akili timamu anaweza kuufanya huo uwendawazimu.
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Baadhi ya mabango anaonekana amevaa barakoa.
 
Labda na huyo Rais wanamuuza kwa watalii. Anatafutwa mnunuzi. Huwezi kuamini kama mtu mwenye akili timamu anaweza kuufanya huo uwendawazimu.
Nguvu kubwa ilifsnyika baada ya mwenda ya jpm kufariki kuonyesha huyu ajuza eti ni bora kuliko marehem ndo wakachota hela ya kutengeneza hayo mabango ,lakini wapi la kuvunda halina ubani
 
Back
Top Bottom