Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani nchi imepata uhuru juzi jioniKila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
CCM imejaa watu wajinga snHio ndio akili ya chama cha ushuzi ccm.Akili imegotea hapo kujipendekeza kwingiii kusaka vyeo.utadhan huyo kiongozi wao ni Mungu mtu kumbe zero.
Tatizo siyo viongozi wakuu, ni chawa ambao ni wasaidizi wao pamoja na baadhi ya wananchi wajinga.viongozi wakichaguliwa kuwa marais ili kutumikia wananchi, wanageuka kuwateka wananchi kwa kudhani kuwa wao siyo watumishi bali masultani na malkia waabudiwe kwa kupamba mapicha na bado muda si mrefu wataweka sanamu za Shaba kubwa kama za wafalme na malkia wa dola za kale.
View attachment 2791332
Huwezi kuona Kagame pamoja na udikteta wake lakini yupo very smartAfu wanalalamika Visit Rwanda kuonekana Taifa
Bilioni 5 mkuu?! Duh! Kwahiyo kipaumbele cha nchi ni kutangaz kiongozi wa nchi halafu hivyo vingine vitakuja kwa kudura za Mungu.Billion 5 zimetuka kuweka kila mkoa hayo mabango
Ndio upeo wetu wa kutangaza nchi ulipo ishia hata kibao cha TANROAD cha kuonyesha njia unayotakiwa kufwatwa kinatengenezwa kidogo kama cha njia za vichochoroni wakati njia hii ni kuu Corridor of Africa.Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Naunga mkono hoja, kwenye maeneo ya Utalii picha za Rais zinafanya nini?Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Tena Yale ya umeme maana taa za solar zipo sio picha ya Rais , pumbavu zao.Sehemu kama Arusha kuanzia hapo KIA yangetakiwa yawepo Mapango yanayo tangaza vivutio vyetu mbalimbali tulivyo navyo nchini hii ni kwaajili wageni na kwaajili wananchi pia naamini hata wageni wakiona picha za rais kila mahali uwa wanashangaa.
Tunahitaji viongozi wenye IQ kubwa na hayo mabango yanaonyesha wazi tuna viongozi wenye uwezo mdogo wa AKILI
Yale Mapango yanatakiwa yawe na picha mlima Kilimanjaro, mlima meru, mlima oldonyo lengai, Serengeti, ngorongoro, mikumi, saadani, fukwe za Zanzibar, gombe, Nk.
Nimalizie kwa kusema vitu tunavyoviwekea mabango ni bidhaa na huduma mana biashara ni matangazo.
Pengine hayo mapicha yake ndio vivutio vyenyeweKila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Ingekua ni nchi wanaoijelewa awamu ijayo huyu mama na serikali yake wangeangalia kwenye TV Serikali mpya ikiapishwaKila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
It is coming very soonIngekua ni nchi wanaoijelewa awamu ijayo huyu mama na serikali yake wangeangalia kwenye TV Serikali mpya ikiapishwa
Hiyo ni kazi ya chawa wa rais.Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Nenda huko Uturuki ndiyo uone mapicha, sisi we have the real thing.Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.
Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.
Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.
Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.
Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.