Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

Hili nami linanishangaza sana ninapoyaona.. Sawa kumsifia Raisi wetu ila wajue tunataka kipato. Waliopewa mamlaka ni shida sana.. muhimu wajiongeze fastq na inatia aibu kipindi cha uchaguzi bado sanaaaa.
 
Haya
89EDCFA6-CAF1-4555-83C9-5C009F08B04E.jpeg
 
Ukijua motive sio kutangaza nchi bali kujitangaza wala hautashangaa...; Hili mbona ni muendelezo tu......

 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Utadhani nchi imepata uhuru juzi jioni
 
viongozi wakichaguliwa kuwa marais ili kutumikia wananchi, wanageuka kuwateka wananchi kwa kudhani kuwa wao siyo watumishi bali masultani na malkia waabudiwe kwa kupamba mapicha na bado muda si mrefu wataweka sanamu za Shaba kubwa kama za wafalme na malkia wa dola za kale.

View attachment 2791332
Tatizo siyo viongozi wakuu, ni chawa ambao ni wasaidizi wao pamoja na baadhi ya wananchi wajinga.
Akili za kichawa zikiondoshwa mbona viongozi watakaa sawa tu.
Mabango, nyimbo za sifa na vigelegele hafanyi Rais wala familia yoke.
Kinachotakiwa ni wananchi kuelewa jema na baya.
 
Zinapotea pesa nyingi sana kutengeneza yale mabango yaliyo sambaa nchi nzima alafu hayana faida yoyote, asie mfahamu Bibi Chaudele ni nani 🤔 upuuzi tuu
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Ndio upeo wetu wa kutangaza nchi ulipo ishia hata kibao cha TANROAD cha kuonyesha njia unayotakiwa kufwatwa kinatengenezwa kidogo kama cha njia za vichochoroni wakati njia hii ni kuu Corridor of Africa.
 
Sehemu kama Arusha kuanzia hapo KIA yangetakiwa yawepo Mapango yanayo tangaza vivutio vyetu mbalimbali tulivyo navyo nchini hii ni kwaajili wageni na kwaajili wananchi pia naamini hata wageni wakiona picha za rais kila mahali uwa wanashangaa.

Tunahitaji viongozi wenye IQ kubwa na hayo mabango yanaonyesha wazi tuna viongozi wenye uwezo mdogo wa AKILI na huko shuleni walienda kusomea ujinga.

Yale Mapango yanatakiwa yawe na picha za mlima Kilimanjaro, mlima meru, mlima oldonyo lengai, Serengeti, ngorongoro, mikumi, saadani, fukwe za Zanzibar, gombe, Nk.

Nimalizie kwa kusema vitu tunavyoviwekea mabango ni bidhaa na huduma mana biashara ni matangazo.
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Naunga mkono hoja, kwenye maeneo ya Utalii picha za Rais zinafanya nini?

Watu wa Serikalini muwage na akili basi kwanza hazimuongezei chochote politically huko KIA.
 
Sehemu kama Arusha kuanzia hapo KIA yangetakiwa yawepo Mapango yanayo tangaza vivutio vyetu mbalimbali tulivyo navyo nchini hii ni kwaajili wageni na kwaajili wananchi pia naamini hata wageni wakiona picha za rais kila mahali uwa wanashangaa.

Tunahitaji viongozi wenye IQ kubwa na hayo mabango yanaonyesha wazi tuna viongozi wenye uwezo mdogo wa AKILI

Yale Mapango yanatakiwa yawe na picha mlima Kilimanjaro, mlima meru, mlima oldonyo lengai, Serengeti, ngorongoro, mikumi, saadani, fukwe za Zanzibar, gombe, Nk.

Nimalizie kwa kusema vitu tunavyoviwekea mabango ni bidhaa na huduma mana biashara ni matangazo.
Tena Yale ya umeme maana taa za solar zipo sio picha ya Rais , pumbavu zao.
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Pengine hayo mapicha yake ndio vivutio vyenyewe
Mabazazi hupenda sana kampani inayopiga ulabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Ingekua ni nchi wanaoijelewa awamu ijayo huyu mama na serikali yake wangeangalia kwenye TV Serikali mpya ikiapishwa
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Hiyo ni kazi ya chawa wa rais.
 
Kila mara jambo jipya huanza Afrika hasa Tanzania.

Leo CPA Dr. Ngongo naelekea Uturuki kupitia Addis Ababa Ethiopia. Njia nzima (yote) zimejazwa picha za Rais Dr. Samia.

Mabango yametanda yamejaa sifa kemukemu, anapenda watoto, elimu kidato cha tano na sita bure, ameifungua nchi, anatunza mazingira, nk.

Nilitarajia njia ya kuingia Kilimanjaro International Airport yangekuwepo mabango ya hifadhi za Taifa kama Tarangire, Manyara, Mlima Kilimanjaro, Serengeti, Ruaha na fukwe za nchi ya Zanzibar.

Nawasilisha roho yangu ikiwa imejikunja.
Nenda huko Uturuki ndiyo uone mapicha, sisi we have the real thing.
 
Back
Top Bottom