Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

Hii nchi tunachojivunia ni uwepo wa amani tu! Mambo mengine ni ya kiwaki tu
 
😂😂😂😂😂nimecheka Sana

Umeandika point kubwa sana binafsi pia huwa sioni sababu ya mabango yale sasa kama yamewekwa na sehemu potential za kutangazia utalii wetu ni hatari mamlaka husika wajitahidi kuangalia hilo na kurekebisha
 
Kila kiongozi na namna yake ya kuongoza watu, mambo haya aliye yahasisi anajulikana.
Kwanini muige kilichoasisiwa na mwingine mbona mmekuja na 4 R vingine mnashindwa nini kuja navyo vipya
 
Kivutio kikuu ni huyo mwali, miss Tanzania Sa100.
 
Ndiyo naye ni kivutio cha utalii kuwa na rais kilaza na dalali wa raslimali za nchi wake.
 
Muhimu maana hamchelewi kumsahau nyie🤣🤣
 
Picha za Rais hazitoshi maofisini !.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…