Picha za satelaiti zinaonyesha nini kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran

Picha za satelaiti zinaonyesha nini kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Picha za satelaiti zilizochambuliwa na BBC zinaonyesha uharibifu wa maeneo kadhaa ya kijeshi nchini Iran kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel siku ya Jumamosi.

Ni pamoja na tovuti ambazo wataalam wanasema zilitumika kwa utengenezaji wa makombora na ulinzi wa anga, pamoja na ile iliyohusishwa hapo awali na mpango wa nyuklia wa Iran.

Picha za satelaiti kufuatia mashambulizi ya Israel zinaonyesha uharibifu wa majengo katika kile ambacho wataalamu wanasema ni kituo kikuu cha kutengeneza silaha huko Parchin, takriban kilomita 30 (maili 18.5) mashariki mwa Tehran.

Tovuti hiyo imehusishwa na utengenezaji wa roketi kulingana na wataalamu kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Mafunzo ya Kimkakati (IISS). Ikilinganisha picha za satelaiti zenye ubora wa juu zilizopigwa tarehe 9 Septemba na picha iliyopigwa tarehe 27 Oktoba, inaonekana kwamba angalau miundo minne imeharibiwa kwa kiasi kikubwa.

 
Picha za satelaiti zilizochambuliwa na BBC zinaonyesha uharibifu wa maeneo kadhaa ya kijeshi nchini Iran kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel siku ya Jumamosi.

Ni pamoja na tovuti ambazo wataalam wanasema zilitumika kwa utengenezaji wa makombora na ulinzi wa anga, pamoja na ile iliyohusishwa hapo awali na mpango wa nyuklia wa Iran.

Picha za satelaiti kufuatia mashambulizi ya Israel zinaonyesha uharibifu wa majengo katika kile ambacho wataalamu wanasema ni kituo kikuu cha kutengeneza silaha huko Parchin, takriban kilomita 30 (maili 18.5) mashariki mwa Tehran.

Tovuti hiyo imehusishwa na utengenezaji wa roketi kulingana na wataalamu kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Mafunzo ya Kimkakati (IISS). Ikilinganisha picha za satelaiti zenye ubora wa juu zilizopigwa tarehe 9 Septemba na picha iliyopigwa tarehe 27 Oktoba, inaonekana kwamba angalau miundo minne imeharibiwa kwa kiasi kikubwa.

Allah kashindwa kuisaidia Iran kudungua hata ndege moja, ni muda sasa wa kumkimbia maana Hana msaada tena
Kuna mabingwa wa kubisha humu kuwa iran imedungua kombora zote za Israel hiki kilicho mpata iran ni sawa na umchokoze matumula eti itampiga mkianza tu anakupiga ngumi za pua na jicho damu puani na macho unaona nyota nyota sidhani kama utaweza rusha tena ngumi sasa kwa iran tusubiri labda atajitutumua ajibu amemchokoza Israel mara mbili Israel hajaenda UN yeye kadukuliwa na mademu tayari kakimbilia UN
 
IKo wazi, Iran ingekuwa haijapata madhara isingeenda kulialia kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa.
 
Mbona bado madhara ni kidogo sana kulinganisha na makombora 600+ yaliyorushwa kulingana na taarifa ambazo ni unconfirmed yet zilizidi missiles 600+
 
Picha za satelaiti zilizochambuliwa na BBC zinaonyesha uharibifu wa maeneo kadhaa ya kijeshi nchini Iran kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel siku ya Jumamosi.

Ni pamoja na tovuti ambazo wataalam wanasema zilitumika kwa utengenezaji wa makombora na ulinzi wa anga, pamoja na ile iliyohusishwa hapo awali na mpango wa nyuklia wa Iran.

Picha za satelaiti kufuatia mashambulizi ya Israel zinaonyesha uharibifu wa majengo katika kile ambacho wataalamu wanasema ni kituo kikuu cha kutengeneza silaha huko Parchin, takriban kilomita 30 (maili 18.5) mashariki mwa Tehran.

Tovuti hiyo imehusishwa na utengenezaji wa roketi kulingana na wataalamu kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Mafunzo ya Kimkakati (IISS). Ikilinganisha picha za satelaiti zenye ubora wa juu zilizopigwa tarehe 9 Septemba na picha iliyopigwa tarehe 27 Oktoba, inaonekana kwamba angalau miundo minne imeharibiwa kwa kiasi kikubwa.

wapo kobaz hapa walisema shambulio limefeli. Yaan israel aingie iran afanye yake afu ya feli 😁😁😁😁 haipo. Watu wanaopiga kwa hesabu zaidi hawa. Inshort iran kachapika na bado. All the best 🇮🇱
 
Back
Top Bottom