heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Vyombo vya Muziki vipo wapi hapo? au ndio inawekwa CD tu ndio unaita ubunifu? pimbi kabisa wewe, Wanamuziki ni kina Lady JD, Banana Zorro, TID, and likes wanaopiga muziki Live na siyo hao wacheza CD halafu wewe unaita ubunifu. mwambie huyo basha wako aige ubunifu kutoka sehemu kama Machozi Band.
vyombo vya muziki vipo wapi hapo? Au ndio inawekwa cd tu ndio unaita ubunifu? Pimbi kabisa wewe, wanamuziki ni kina lady jd, banana zorro, tid, and likes wanaopiga muziki live na siyo hao wacheza cd halafu wewe unaita ubunifu. Mwambie huyo basha wako aige ubunifu kutoka sehemu kama machozi band.
Wakala upo? Vipi mimba ya penny inaendeleaje? Anaenda clinic kweli?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Vyombo vya Muziki vipo wapi hapo? au ndio inawekwa CD tu ndio unaita ubunifu? pimbi kabisa wewe, Wanamuziki ni kina Lady JD, Banana Zorro, TID, and likes wanaopiga muziki Live na siyo hao wacheza CD halafu wewe unaita ubunifu. mwambie huyo basha wako aige ubunifu kutoka sehemu kama Machozi Band.
Matola uko sahihi kuongea hivyo ila umekosea kuongea lugha ambayo kidogo inafedhehesha, kumbuka unachokisema ni tofauti kabisa na mazingira yaliyopo na gharama zenyewe unasema lady JD anapiga live lakini kumuchukua kumpeleka ukerewe na band yake na watu wake hizo gharama ni kubwa sana huyo promoter kamwe hawezi maana mwisho wa siku anataka kutengeneza profit, na kuiangalia kama hiyo show aliyoipiga hapo ukerewe refer to the picture inaonyesha wameridhika na burudani yake na diamond huwezi kumlinganisha na lady jd kwa uzoefu wa kimuziki hata komandoo jide alianzia huko na akafika hapo alipo, vitu vinaenda kwa hatua, cha muhimu ungetoa ushauri wa kumuambia atunze pesa kwa ajili ya kuanzisha band na sio kumuita pimbi mkuu. ni maoni yangu lakini na mawazo yako yanaweza kuheshimiwa vizuri sana kama ukitumia lugha ya ustaarabu
Hujapita kariakoo siku nyingi sana nina uhakika, na wala hujui China watu huwa wanakwenda kufanya nini.Huyu jamaa kwenye mavazi anatisha.
Vyombo vya Muziki vipo wapi hapo? au ndio inawekwa CD tu ndio unaita ubunifu? pimbi kabisa wewe, Wanamuziki ni kina Lady JD, Banana Zorro, TID, and likes wanaopiga muziki Live na siyo hao wacheza CD halafu wewe unaita ubunifu. mwambie huyo basha wako aige ubunifu kutoka sehemu kama Machozi Band.
:nono::nono::nono::nono:Entrpreneurship is making money and obtaining large share of market by taking risk and utlizing very minimal resources. Diamond has managed this.You can compare Diamond and Ladha, one opted to sing and dance the other to build a complex. Who is smart. It is a matter of choice.