Mzuka wanajamvi.
Hizi ndo picha za vijana wadogo waliouwawa Jordan na suicide drones za magaidi wa Iran.
Wote ni watatu ni Black Americans.
Picha za Kwanza ni Kennedy Ladon Sanders miaka 24 mwenyeji wa Jimbo la Georgia.
Picha zingine hapa chini ni Broenna Moffets 23
Picha ya Tatu ni mwamba Sgt. William Jerome Rivers 46 mwenyeji wa Carolton Georgia.
Walale mahali pema peponi
Hizi ndo picha za vijana wadogo waliouwawa Jordan na suicide drones za magaidi wa Iran.
Wote ni watatu ni Black Americans.
Picha za Kwanza ni Kennedy Ladon Sanders miaka 24 mwenyeji wa Jimbo la Georgia.
Picha zingine hapa chini ni Broenna Moffets 23
Picha ya Tatu ni mwamba Sgt. William Jerome Rivers 46 mwenyeji wa Carolton Georgia.
Walale mahali pema peponi