Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka Us mpaka Jordan alafu unaanzisha Kambi ya jeshi ndio maana halisi ya superpower kama huelew.Kutoka marekani mpaka hapo Jordan kuna kilometa ngapi? Wamefuata nini kama si kufanya ugaidi?,, ushasikia hata siku moja muiran kaenda Mexico au Canada kuleta chokochoko kwa mmarekani? Usitumie matrako kufikiri tumia kichwa,,
We umerudi au bado upo Scandinavia?Rudi nyumbani wewee hamna cha dual nationality
Linawezekana sanaI believe it was an inside job done by Mossad to pull USA in an open war in the Middle East
Usilaumu wairani. Hapo ni kamanda aliyewapangia hao vijana huko kwa kubagua. Kumbuka kisa cha uria. Hapo naona kuna kutangulizwa weuzi sehemu ambazo ni hatarishi sanaTena wote wametokea Jimbo la Georgia. Wa Iran ni wabaguzi sana.
Double standards huh? 🤔Jikite kikamilifu kwenye mada iliyopo mezani.
Mmarekani ndiyo gaidi nambari moja duniani kama angekaa pembeni asiingilie affairs za nchi nyengine basi dunia ingekuwa na amani sana .Tulia wewee
Birds of a feather...Alafu huyo dogo wa juu anaweza kuwa chakula
Ugaidi si nikumuuwa mtu huku unatamka yale maneno mfululizo au? Huku kichwani pia lazma uwe na the motive behind wale mabikira 72...Kutoka marekani mpaka hapo Jordan kuna kilometa ngapi? Wamefuata nini kama si kufanya ugaidi?,, ushasikia hata siku moja muiran kaenda Mexico au Canada kuleta chokochoko kwa mmarekani? Tumia kichwa
Ndo unavofundishwa hivyo na mchungaji wako wa kinyakyusaUgaidi si nikumuuwa mtu huku unatamka yale maneno mfululizo au? Huku kichwani pia lazma uwe na the motive behind wale mabikira 72...