Tena wote wametokea Jimbo la Georgia. Wa Iran ni wabaguzi sana.Kwanini wamekufa weusi tu, kwani kwenye hiyo kambi hawakuwepo rangi nyingine?
Tusubirie waje kudai makafir wanaua watotoTena wote wametokea Jimbo la Georgia. Wa Iran ni wabaguzi sana.
Jikite kikamilifu kwenye mada iliyopo mezani.Kutoka marekani mpaka hapo Jordan kuna kilometa ngapi? Wamefuata nini kama si kufanya ugaidi?,, ushasikia hata siku moja muiran kaenda Mexico au Canada kuleta chokochoko kwa mmarekani? Tumia kichwa,
Duh!Kwanini wamekufa weusi tu, kwani kwenye hiyo kambi hawakuwepo rangi nyingine?
Huko George a Si ndio kuna mvutano wanataka wahamiaji haramu watimuliwe au sijakosea?Tena wote wametokea Jimbo la Georgia. Wa Iran ni wabaguzi sana.
Mzuka wanajamvi.
Hizi ndo picha za vijana wadogo waliouwawa Jordan na suicide drones za magaidi wa Iran.
Wote ni watatu ni Black Americans.
Picha za Kwanza ni Kennedy Ladon Sanders miaka 24 mwenyeji wa Jimbo la Georgia.
View attachment 2888931View attachment 2888932View attachment 2888933
Picha zingine hapa chini ni Broenna Moffets 23
View attachment 2888935View attachment 2888936
Picha ya Tatu ni mwamba Sgt. William Jerome Rivers 46 mwenyeji wa Carolton Georgia.View attachment 2888939
Walale mahali pema peponi
Tulia weweeunaulizwa badala ujibu unakimbilia kujamba na kunya.
kisa huko nyuma umelegezwa
Nyumbu weusi wanatumikishwa 😁😁Mzuka wanajamvi.
Hizi ndo picha za vijana wadogo waliouwawa Jordan na suicide drones za magaidi wa Iran.
Wote ni watatu ni Black Americans.
Picha za Kwanza ni Kennedy Ladon Sanders miaka 24 mwenyeji wa Jimbo la Georgia.
View attachment 2888931View attachment 2888932View attachment 2888933
Picha zingine hapa chini ni Broenna Moffets 23
View attachment 2888935View attachment 2888936
Picha ya Tatu ni mwamba Sgt. William Jerome Rivers 46 mwenyeji wa Carolton Georgia.View attachment 2888939
Walale mahali pema peponi
Sasa na wewe chawa wa CCM tena huna mshipa wa aibu.Nyumbu weusi wanatumikishwa 😁😁
Na wengine ombeni Uraia wa USA
Iran piga mbwa haoSasa na wewe chawa wa CCM tena huna mshipa wa aibu.
Rudi nyumbani wewee hamna cha dual nationalityKweli njaa mbaya
Wamerubuniwa na kuahidiwa mishahara minono
US wanawatumia sana Blacks, wamewatenga sana na wao wakaamua kuwa majobless tu
Wanatumiwa sana kwenye majeshi
Ila nao marekani waache wizi
Kinachowaweka huko ni wizi wa mafuta tu
Yaani wanawaita watu magaidi kwenye nchi yao shenzi kabisa
Angalia wamewaingiza mkenge watoto wadogo bila kosa
Hili ni kama la vita walioifanya Iraq wakati ule na kufa vijana wengi Blacks