Picha za Wema akiwa na bwana ake zavuja

Ila vijana wa siku hizi noma sana.......babu zetu na bibi zetu walikuwa wanafanya kwa siri tena sa nyingne kwnye giza tororo ila siku hizi sio kwenye mwanga tu bali ata mashahidi wanahitajika kwa lazma.......wao wanawaita ndugu watazamaji au fans

Mungu anatuona hakika
 
Zama zimebadilika Sana
 
Hivi Wema hawezi kutulia japo mwakamoja bila skendo? Hili la Lulu ilibidi limpate yeye,hakui ,hajifunzi,kla siku ni usenge usenge tuuu,,,aarrrghhuh
 
Juzi katk hapa nasikia katimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa anakaa kisa anaishi na mashoga. Hivi wema jamani nae mmmmh.
 
Mpelekeeni da'Mange wajameni. Atazirusha leo hii hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…