Picha za Wema akiwa na bwana ake zavuja

Juzi katk hapa nasikia katimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa anakaa kisa anaishi na mashoga. Hivi wema jamani nae mmmmh.
Hahaaaaaaa sijajisikia hii Wema Mh
 
Kwa takribani miaka yote amekuwa akitamani sana ndoa lakini waoaji wamekuwa wachache..amebaki kutumika tu na baadaye wanam-dump dah maisha haya...enyi wanawake kipindi mpo katika kushine msiwadharau wanaume wenye nia nzuri na nyie kwa nadharia kwamba mnakula ujana..angalieni msijejuta kama anavyojuta le madam wetu wa bongo!
 
Hivi picha huwa zinavuja vipi naomba kuelimishwa maana wote hapa tuna simu na zina picha tusifanyane matahaira.
 
Picha za 2017 zina mbawa Mkuu huruka kama njiwa ili wanadamu tuzione.

Hivi picha huwa zinavuja vipi naomba kuelimishwa maana wote hapa tuna simu na zina picha tusifanyane matahaira.
 
Milly sio wa kumuamini, alishasema wema yupo kwao mara ana mimba! Hapanq simuamini milly[emoji3]
Ila hiz za kurudiana na Diamond zinaweza kuwa na ka ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…