Picha : Zamaradi akila Bata USA

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Unajua shoga yetu Cheusi mangala mambo yake sio Haba , sema tu ni vile yeye hanaga show off za kipumbavu, ni miongoni mwa mastaa wachache ambao wanaishi maisha ya kifahari, anaishi nyumba nzuri , na kama ulikua hujui , Ana push your dream car , BMW X6, na Ana biashara zake kadhaa hapa mjini .

Ila mwenzangu najiulizaga, jeuri ya pesa anapata wapi? Ni WASAFI alikoajiriwa au mumewe ? , maana cheusi mangala pesa anazo na hakanaga majivuno, au ndo baba watoto wake bado anahudumia?

Ila zamaradi Ana akili bwana , akitembezi kwa wanaume wa hovyo , Hana muonekano mzuri kihivyo Ila kichwani yupo smart sana tofauti na mastaa wenzie, na ndio maana nadhani Ana hang out na wanaume wa maana
 
Huyo bata yuko wapi, mbona kananekana kamepigwa dollo kamesimama kana njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…