PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,224
Ni maajabu?Zari mguu moja mrefu mmoja mfupi, kama mnabisha tumeni picha akiwa amesimama straight
Huyo naye kapitiwa na Domo?Hata Ally K alishaenda sana Mbagala sema tu hapendi Show offu..
We mwenyewe huna lolote hapo zaid ya kupiga umbea tuu hapa JF.Twende wote basi US tumrushe roho Matola
Kumbe ndo ujira wako basi kazi njema mkuu.Wew mwenye lolote mida ya kazi hi I unafanya nn humu? Wenzio majobless na umbea ndo kazi yetu tunalipwa, sijui wewe mwenzangu
Hivi kipindi kile Ivan yuko hai mbona alikuwa haoneshi picha za ofisi?Bibi tukinao ndo anayoyapenda hayo ya London, sijui office kamwachia nani
Mbona alikua anaonesha au hukua na smartphone?Hivi kipindi kile Ivan yuko hai mbona alikuwa haoneshi picha za ofisi?
Hivi kipindi kile Ivan yuko hai mbona alikuwa haoneshi picha za ofisi?
asilimia kubwa ya watu miguu yao hupishana urefu kidogo labda kama yake imezidiZari mguu moja mrefu mmoja mfupi, kama mnabisha tumeni picha akiwa amesimama straight
hahahhahahahahah shauri yako we wachokoze tuuHata Ally K alishaenda sana Mbagala sema tu hapendi Show offu..
huo wivu sasaBi Tukinao na open shoes si kwa baridi ile ya London.
Wivu wa open shoes?huo wivu sasa