Mimi ni Madame Rita aisee! Huyu dada ananivutia sana hasa macho yake. Zari anazidisha make-up.
Afu Rita ni ana confo la kutosha...nshakutana nae sehemu sehemu...yani si wale wa kuuza sura...allikuwa ana interact na watu wenye CV zao...hajirudishi nyuma...na hiyo kibongo bongo ni wachache walio kwenye fani za sanaa wanaweza....
Na ndipo nilipojua kuwa ni mzuri kuliko anavyoonekana kwenye picha...
(kuna watu picha zinawaongezea marks...huyu dada ni the opposite...uzuri wake wa live ni zaidi ya wa picha)
Hawa ndio watu wa kuwafananisha sio wanafananisha maiti na mtu aliye hai mxiuuu
Ananiachaga hoi tu anavyoliaga kwenye BSS yani ana huruma hatar
Ana komwe flani hivi hujawahi kumuona akibana ki Kim kardashian au kubana kwa nyuma anakua ka ana upara flani hivi akinyoa ka madame Ritta hamkamati hata chembe bora ma weaving ndo yanamfanya aonekane vizuri.
Komwe analo si hata wema analo ,,,,,hivi akinyoa kama madam r itakuwaje hhhhhahaaa
Asijaribu kunyoa hivo aisee na hivi ana uso wa raundi ni shidaaaaa pcha haiji kabisa akinyoa. Unaona Wema alivonyoa alivotisha nywele zina sitiri wanawake wengi aiseee.
bona balunji.....
hivi kwa nini mr Machache hakumuoa Madame Ritha?ni mzuri sana kwa kweli
Haaaa iseme kwa kiswahili basi...
Unajua Z kazidi hadi unashindwa kuandika kaka.
Ananiachaga hoi tu anavyoliaga kwenye BSS yani ana huruma hatar
Mengi anaonekana mwaminifu sana,mwanamke wake akichepuka tu anampa go ahead,safi sana huyu mzeeRita alichepukaga ,Mengi akatema