Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

Watu ni intelligent

Hali ya watu kuwa intelligent ni intelligence.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligent tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu wenye intelligence tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu" si sawa.

Lugha za watu hizi jamani.
Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
 
Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
Unaweza kuita kiherehere, pia inaweza kuwa mtu aliye nstari wa mbele kuonesha njia.

Trailblazer.

Hakuna maendeleo bila kiherehere.
 
Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
Hahahaha unayo damu ya kikwete
 
Watu ni intelligent

Hali ya watu kuwa intelligent ni intelligence.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligent tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu wenye intelligence tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu" si sawa.

Lugha za watu hizi jamani.
Lengo nikujifunza sasa wewe endeleza chuki zako za ccpinduzi kama utafika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti watu intelligence !
So na wewe ni miongoni mwao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe lazima utakuwa ni ccm tu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Lengo nikujifunza sasa wewe endeleza chuki zako za ccpinduzi kama utafika
Kwani hapo nilipoandika hujajifunza Kiingereza pia?

Nategemea mtu anayetuletea uzi wa intelligence ajue tofauti ya intelligent na intelligence.

Siyo ku copy paste tu picha.
 
No. 12 akili zinasulubisha hisia?
Hii hufanywa na wale wanaitwa wababe, wagumu asilia.Watu wenye misimamo yao.
 
Back
Top Bottom