Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

Watu ni intelligent

Hali ya watu kuwa intelligent ni intelligence.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligent tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu wenye intelligence tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu" si sawa.

Lugha za watu hizi jamani.
Una asili ya kauchoyo fulani hivi ka kuficha! ficha intelligency yako, watu km nyinyi mpo wengi . hamko direct, kwanza mleta Mada amepoteza maksudi!!! mfano hapa una kitu hutaki kukiweka wazi kwa wasomaji wa rika zote wakielewe na wajifunze.

Lkn kuna mwanaJF mmoja hapo juu kaweka wazi vizuri sana! ndiyo niliwahi sema ukiona umesimama ,angalia usianguke Dunia hii ni ndogo sana!

Najua Utasema Shetani yupo na Mungu hayupo! sababu hujawahi kumuona.
 
Una asili ya kauchoyo fulani hivi ka kuficha! ficha intelligency yako, watu km nyinyi mpo wengi . hamko direct, kwanza mleta Mada amepoteza maksudi!!! mfano hapa una kitu hutaki kukiweka wazi kwa wasomaji wa rika zote wakielewe na wajifunze.

Lkn kuna mwanaJF mmoja hapo juu kaweka wazi vizuri sana! ndiyo niliwahi sema ukiona umesimama ,angalia usianguke Dunia hii ni ndogo sana!

Najua Utasema Shetani yupo na Mungu hayupo! sababu hujawahi kumuona.
Shukrani mkuu nitabadilika
 
Una asili ya kauchoyo fulani hivi ka kuficha! ficha intelligency yako, watu km nyinyi mpo wengi . hamko direct, kwanza mleta Mada amepoteza maksudi!!! mfano hapa una kitu hutaki kukiweka wazi kwa wasomaji wa rika zote wakielewe na wajifunze.

Lkn kuna mwanaJF mmoja hapo juu kaweka wazi vizuri sana! ndiyo niliwahi sema ukiona umesimama ,angalia usianguke Dunia hii ni ndogo sana!

Najua Utasema Shetani yupo na Mungu hayupo! sababu hujawahi kumuona.
Una haki ya kuwa na maoni yako, na hata nisipokubaliana nawe, nitatetea haki yako ya kuwa na maoni yako.

Lakini, huna haki ya kuwa na facts zako peke yako.

Umenipaka matope bila ushahidi.

Ningekuwa na asili ya uchoyo, nisingetoa somo la bure la Kiingereza.

Ningeacha anayekosea aendelee kukosea, na wasiojua tofauti ya "intelligence" na "intelligent" waendelee kutojua.

Habari uliyoleta haina mantiki. Na wewe hujui kufikiria kimantiki. Na inawezekana tukashindwa kuelewana, ukashindwa kunielewa. Kwa sababu unafikiria backasswards.

And that is totally fine with me.

I don't need your approval.

Facts will remain facts.

There is a difference between "intelligent" and "intelligence".

I don't expect your boring semi-literate Philistine self to appreciate that.
 
Una haki ya kuwa na maoni yako, na hata nisipokubaliana nawe, nitatetea haki yako ya kuwa na maoni yako.

Lakini, huna haki ya kuwa na facts zako pele yako.

Umenipaka matope bila ushahidi.

Ningekuwa na asili ya uchoyo, nisingetoa somo la bure la Kiingereza.

Ningeacha anayekosea aendelee kukosea, na wasiojua tofauti ya "intelligence" na "intelligent" waendelee kutojua.

Habari uliyoleta haina mantiki. Na wewe hujui kufikiria kimantiki. Na inawezekana tukashindwa kuelewana, ukashindwa kunielewa. Kwa sababu unafikiria backasswards.

And that is totally fine with me.

I don't need your approval.

Facts will remain facts.

There is a difference between "intelligent" and "intelligence".

I don't expect your boring semi-literate Philistine self to appreciate that.
A wise man says
 
Habari uliyoleta haina mantiki. Na wewe hujui kufikiria kimantiki. Na inawezekana tukashindwa kuelewana, ukashindwa kunielewa. Kwa sababu unafikiria backasswards.
Mkuu Umekosea kuni hukumu in simple way like dat!! Binafsi nafikiria kimantiki in highly different super level more than someone can even imagine,

Tukishindwa kuelewana ni sababu uko ivo, no way out. Bulling by nature! how comes somebody whom you don't know think Backwards, see!! egotism it's not an insult!! mwlm bora lazima avute usikivu!

Still.. kila ulimi utakiri.
 
Mkuu Umekosea kuni hukumu in simple way like dat!! Binafsi nafikiria kimantiki in highly different super level more than someone can even imagine,

Tukishindwa kuelewana ni sababu uko ivo, no way out. Bulling by nature! how comes somebody whom you don't know think Backwards, see!! egotism it's not an insult!! mwlm bora lazima avute usikivu!

Still.. kila ulimi utakiri.
Mbona kama wewe ndo ulianza bullying!?
 
Unatuchanganyia habari tu. Vichwa vina mambo mengi sasa hivi.
 
Mkuu Umekosea kuni hukumu in simple way like dat!! Binafsi nafikiria kimantiki in highly different super level more than someone can even imagine,

Tukishindwa kuelewana ni sababu uko ivo, no way out. Bulling by nature! how comes somebody whom you don't know think Backwards, see!! egotism it's not an insult!! mwlm bora lazima avute usikivu!

Still.. kila ulimi utakiri.
Hujaeleza inakuwaje mtu anayetoa somo la bure ni mchoyo.

That is a contradiction.

Unalazimisha mambo. WTF is "in highly different suoer level"?

Na una chuki binafsi dhidi yangu kwa sababu za kidini.

Wewe ni kijana unayebalehe? Maana inawezekana najadiliana na mtu asiye wa kiwango changu.

Muandiko wako unaonesha mapungufu mengi sana, to say the very least.
 
Hujaeleza inakuwaje mtu anayetoa somo la bure ni mchoyo.
Sijasema wewe ni Mchoyo!!! usinilishe maneno! fungua akili then relax nimesema hivi narudia ''kauchoyo choyo fulani hivi'' ni tofauti na neno ''Mchoyo'' kama unavosema. by the way ''kauchoyouchoyo'' siyo dhambi mbona hata mimi ninako? kila mtu anako. ukiona mtu ana over react kwa ka neno haka Basi ni mchoyo hasa!

Punguza jazba usikuze maneno! Well! mwandiko kuwa na mapungufu usiyoyajua ni kuona kuwa mie ni mtu! kwani unajua hii Avatar ni dini siyo Dini ya kipagani?

Ubaguzi ni mbaya Duniani tunapinga hili, una mbagua mtoto hadharani hutaki kujadiliana naye, una-m-ignore, asijifunze ulilonalo kichwani mwako ila wewe ujifunze kutoka kwa wengine?

Naamini ningekuwa mtoto wa Kizungu usingenitishia kuniweka Ignore List kwa sababu ya mtizamo tofauti na wako tena wa kulazimishia, kwanza kusema tu ''eti nina chuki za Dini hata Usiyoijua'' inatosha kunitesa kisaikolojia! unaongeza maumivu eti na Ignore List ili nipandishe adrenalin au?

Ubaguzi siyo wa wazungu tu, ulianzia kwa weusi km hivi, na mtabaguliwa Duniani, km umeshindwa kumvumilia mtu usiye muona je mke unaye lala nae na kuamka nae? unataka Mr Yes! man?
 
Sijasema wewe ni Mchoyo!!! usinilishe maneno! fungua akili then relax nimesema hivi narudia ''kauchoyo choyo fulani hivi'' ni tofauti na neno ''Mchoyo'' kama unavosema. by the way ''kauchoyouchoyo'' siyo dhambi mbona hata mimi ninako? kila mtu anako. ukiona mtu ana over react kwa ka neno haka Basi ni mchoyo hasa!

Punguza jazba usikuze maneno! Well! mwandiko kuwa na mapungufu usiyoyajua ni kuona kuwa mie ni mtu! kwani unajua hii Avatar ni dini siyo Dini ya kipagani?

Ubaguzi ni mbaya Duniani tunapinga hili, una mbagua mtoto hadharani hutaki kujadiliana naye, una-m-ignore, asijifunze ulilonalo kichwani mwako ila wewe ujifunze kutoka kwa wengine?

Naamini ningekuwa mtoto wa Kizungu usingenitishia kuniweka Ignore List kwa sababu ya mtizamo tofauti na wako tena wa kulazimishia, kwanza kusema tu ''eti nina chuki za Dini hata Usiyoijua'' inatosha kunitesa kisaikolojia! unaongeza maumivu eti na Ignore List ili nipandishe adrenalin au?

Ubaguzi siyo wa wazungu tu, ulianzia kwa weusi km hivi, na mtabaguliwa Duniani, km umeshindwa kumvumilia mtu usiye muona je mke unaye lala nae na kuamka nae? unataka Mr Yes! man?
Nasikitika kukueleza kwamba, kwa uandishi wako huu, hujafikia viwango vya kujadiliana nami.

Nimekupa nafasi ya kujenga hoja na kuacha viroja.

Hujaitumia nafasi hiyo.

Hivyo, sina nafasi ya kuendelea kujadiliana nawe.

Ili kuepusha mijadala ya kipuuzi, inayojaza maneno yasiyo na tija hapa JF, nalazimika kukupeleka ignore list.
 
Nasikitika kukueleza kwamba, kwa uandishi wako huu, hujafikia viwango vya kujadiliana nami.

Nimekupa nafasi ya kujenga hoja na kuacha viroja.

Hujaitumia nafasi hiyo.

Hivyo, sina nafasi ya kuendelea kujadiliana nawe.

Ili kuepusha mijadala ya kipuuzi, inayojaza maneno yasiyo na tija hapa JF, nalazimika kukupeleka ignore list.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Naombeni mnitag ktk nyuzi zenye logic battle kam hizi...JF imepoa sana... I want to see members' logical battles


Relax
 
Nasikitika kukueleza kwamba, kwa uandishi wako huu, hujafikia viwango vya kujadiliana nami.

Nimekupa nafasi ya kujenga hoja na kuacha viroja.

Hujaitumia nafasi hiyo.

Hivyo, sina nafasi ya kuendelea kujadiliana nawe.

Ili kuepusha mijadala ya kipuuzi, inayojaza maneno yasiyo na tija hapa JF, nalazimika kukupeleka ignore list.
By the way!! Mkuu neno ''upuuzi'' ni jibu rahisi sana kwa hoja ngumu! JF hakuna vilaza, pako vizuri yaani ukiongea uwe umejipanga Dogo kajifiche salama kwenye Ignore list, ndo kichaka chenu wenye hoja dhaifu, na walipukaji, utafanyaje sasa? na kunywa sumu huwezi! huwezi kuwa rude tukakuacha hivi hivi!

''uandishi huu'' ... yaani kauli za wazee wale sijui nisemeje, any way!!1
 
Uzi wa maintelijenti tukakubali na tukapewa nafasi sisi vilaza tuulize maswali sehemu isiyoeleweka Chaajabu tumeuliza wee lakini hatufafanuliwi
 
Watu ni intelligent

Hali ya watu kuwa intelligent ni intelligence.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligent tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu wenye intelligence tu" ni sawa.

"Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu" si sawa.

Lugha za watu hizi jamani.
Usitubabaishe Bana bado na wewe hujui tu! hizo unazo ziona ni common errors!! zipo zilikuwepo na zitakuwepo kwa kila Lugha Duniani! kwa jamii na watu husika, hata kiswahili tu humu tunakosea sana kuchapisha maneno kwa sababu mtu uko faster!!

Unapaswa msomaji ujiongeze, km umeshindwa kujiongeza wewe ndo hujui!!! Shuleni kibongo bongo tulikuwa na somo kwenye Mitaala yetu maarufu km Learn through Mistakes/ au Common Mistakes!! nadhani mwalimu wako upe hakujua hili!

Native speakers wenyewe wanakosea sana!! wanachapia!! yeye ni nani asikoseee!!! tatizo wewe unaumwa ugonjwa wa perfectionism Disease!! umeyatamka tu!! but hukutwambia ni ipi Verb, Noun, adverb au ni adjective' wewe pia hujui bhana aaaa!!!

Tena hujuikm huyu katumia kiingereza cha wapi!! kwa taarifa yako km hujui viingereza viko vya aina 7- 10 vyenye hadhi ya kimataifa!!! na ktk hivyo vyote kuna sub branches!!! sasa wee ni wazi umekariri British English tu!! ndo unataka wote waongee hiyo!! vepe babu!!

siyo unamsema presenter, bila aibu hapa eti kuwa hajui wewe ndo hujui! OK! Wahindi, Wazungu hao hao kama Father Edfonce mbona wanakosea kiswahili hamcheki!! ! Lugha za watu!! kwani sisi Nyani!! Miafrica banaweee!!
 
Back
Top Bottom