Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
 
Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
Unaweza kuita kiherehere, pia inaweza kuwa mtu aliye nstari wa mbele kuonesha njia.

Trailblazer.

Hakuna maendeleo bila kiherehere.
 
Kiranga nakuaminia hujawahi kuzamisha jahazi katika ulimi wa Malkia... kwa Mungu Muumba tu ndo unazingua!!!

Halafu nikupe nyongeza tu... Jina lako "KIRANGA" kwa kabila la kwetu ni KIHEREHERE[emoji38][emoji16]
Hahahaha unayo damu ya kikwete
 
Lengo nikujifunza sasa wewe endeleza chuki zako za ccpinduzi kama utafika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti watu intelligence !
So na wewe ni miongoni mwao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe lazima utakuwa ni ccm tu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Lengo nikujifunza sasa wewe endeleza chuki zako za ccpinduzi kama utafika
Kwani hapo nilipoandika hujajifunza Kiingereza pia?

Nategemea mtu anayetuletea uzi wa intelligence ajue tofauti ya intelligent na intelligence.

Siyo ku copy paste tu picha.
 
No. 12 akili zinasulubisha hisia?
Hii hufanywa na wale wanaitwa wababe, wagumu asilia.Watu wenye misimamo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…