Picha zilizopigwa na kutoa ujumbe tofauti na uliokusudiwa


Njaaa inauma na usingizi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
.
.Bado natafuta ya yule jamaa kwenye msiba wa JPM uwanja wa Taifa hakupiga saluti
 
View attachment 1771029
Hii nilishaiposti sehemu. Jamaa aliyekua na nywele ndefu akaenda kunyoa na kurudi kukaa pale pale akiwa na nywele fupi ndani ya hotuba moja ya Obama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nakataa jaaa hajaenda kunyoa bali kwenye picha ya kwanza alimziba huyo dada kwa namna ambayo alimziba uso tu (Perfect overlap japokuwa imetokea kwa bahati mbaya) na pia ikatokea kwa bahati kwamba shingo zao zimejijapanga kwa usahihi wa 100%.

Kama siyo photoshop basi Hii picha ndiyo imenipa tafsiri kamili ya huu uzi.

NAwasilisha
 
Hahaaa ndio mkuu. Ndo maana ya huu Uzi kama umeelewa hiyo Tuko pamoja

(nilipost hayo maneno as a joke)
 
Hahaaa ndio mkuu. Ndo maana ya huu Uzi kama umeelewa hiyo Tuko pamoja

(nilipost hayo maneno as a joke)
Nilitaka nishangae wewe ni wa Kaposti hivo?!! ๐Ÿ˜ณ ๐Ÿ˜ณ
 
True.

Angalia juu ya bega la kulia la jamaa picha ya kwanza utaona bega la dada limetokeza kidogo halafu bega hilo hilo la kulia la jamaa picha ya pili utaona bega la dada halipo kama mwanzo.

This means kwenye picha ya kwanza nywele sio za jamaa Bali na za huyo dada ambae unfortunately shingo yake na kichwa chake kimezibwa na jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ