Picha zilizovuja za "Mateka" 6 wa Kiisraeli ambao miili yao ilipatikana katika Ukanda wa Gaza

Picha zilizovuja za "Mateka" 6 wa Kiisraeli ambao miili yao ilipatikana katika Ukanda wa Gaza

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Video hii ilitolewa mwezi Aprili na Hamas ikiwa na ujumbe ufuatao, kutoka mwa mateka wa Israel kwa kwa serikali ya Israel


"Fanya kile kinachotarajiwa kwako na uturudishe nyumbani mara moja, au hii imekuwa kubwa sana kwako?"

Baada ya muda huyo mateka na wenzake 5 waliuliwa na IDF huko Gaza.
===============


Picha zilizovuja za "Mateka" 6 wa Kiisraeli ambao miili yao ilipatikana katika Ukanda wa Gaza.

Hivi sasa kuna hasira kubwa ya umma ndani ya 'israel' dhidi ya Netanyahu

View: https://x.com/suppressednws/status/1830012312352407849?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Comments za twitter zinaonesha Hamas ndio wamewaua au wamepewa airtime kwa kushikiwa mtutu.. sasa kwa hatua ya iblis ya Hamas kuteka na kutesa mateka wasio na hatia kwa kitumia Quran.. Ushauri kwa Netanyahu azuie misaada hadi wapumbavu watetezi wa magaidi waanze kuongea na magaidi wenzao Hamas na Islam jihad
 
Hao mateka waliuawa na hao magaidi wa Hamas na hao magaidi wakapanga kuisingizia Israel ili wawachonganishe na wananchi wao.

Mimi sasa nailaumu Israel kwani wamezidi huruma ilitakiwa sasa hivi wawe wamewaua wapalestina zaidi ya milioni moja badala ya hao 40,000+ tu, wanacheza nao na naona hii Israel ya sasa sio ile tunayoisoma kwenye biblia, hawa magaidi leo wangeishaisha wote.
 
Wanaukumbi.

Video hii ilitolewa mwezi Aprili na Hamas ikiwa na ujumbe ufuatao, kutoka mwa mateka wa Israel kwa kwa serikali ya Israel


"Fanya kile kinachotarajiwa kwako na uturudishe nyumbani mara moja, au hii imekuwa kubwa sana kwako?"

Baada ya muda huyo mateka na wenzake 5 waliuliwa na IDF huko Gaza.
===============


Picha zilizovuja za "Mateka" 6 wa Kiisraeli ambao miili yao ilipatikana katika Ukanda wa Gaza.

Hivi sasa kuna hasira kubwa ya umma ndani ya 'israel' dhidi ya Netanyahu

View: https://x.com/suppressednws/status/1830012312352407849?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Kila ukionyesha dalili za kupona huko kichwani huwa wanakujaribu kwa kukupatia simu, baada ya kukupatia tu simu kifuatacho wanakudaka tena na kukurudisha wodini.
 
Hao mateka waliuawa na hao magaidi wa Hamas na hao magaidi wakapanga kuisingizia Israel ili wawachonganishe na wananchi wao.

Mimi sasa nailaumu Israel kwani wamezidi huruma ilitakiwa sasa hivi wawe wamewaua wapalestina zaidi ya milioni moja badala ya hao 40,000+ tu, wanacheza nao na naona hii Israel ya sasa sio ile tunayoisoma kwenye biblia, hawa magaidi leo wangeishaisha wote.
Mimi sumu wamwage kisibaki kiumbe chochote.
 
Kichekesho cha watu wa mmyazi Hamas wamasema Mateka hao 6 Wameuliwa na Israel wenyewe kwa makombora ya ndege za kivita.. nimecheka sana
 
⚡️BREAKING: HAMAS HOLDS ISRAEL RESPONSIBLE FOR THE DEATH OF 6 ISRAELI 'HOSTAGES'

Hamas Political Bureau member Izzat Al-Rishq:

"The responsibility for the death of the prisoners held by the resistance lies with the occupation, which insists on continuing its genocidal war and evading an agreement to reach a ceasefire, as well as with the American administration for its bias, support, and partnership in this aggression.

The one who kills our people daily is the occupation with American weapons, and the discovery of the prisoners' bodies in the Gaza Strip shows they were only killed by zionist bombing. If President Biden truly cares about their lives, he should stop supporting this enemy with money and weapons and pressure the occupation to end its aggression immediately.

The one who will pay the price for these brutal crimes and the genocidal war against our people for the past eleven months is Netanyahu, his extremist government, and all supporters of this aggression.

We hold the American administration and Biden himself responsible for the daily crimes and the genocide war in the Gaza Strip, which has resulted in more than 150,000 martyrs and injured, 69% of whom are children and women.

History will remember Biden, as he leaves the White House, as a partner and supporter of the war criminals Netanyahu and his gang.

Hamas cared more about the lives of the prisoners in its custody than Biden did, which is why it agreed to his proposal on this matter and to the UN Security Council resolution, while Netanyahu rejected both. His administration submitted to Netanyahu's conditions, aiming to obstruct the agreement to maintain his power."
 
Kichekesho cha watu wa mmyazi Hamas wamasema Mateka hao 6 Wameuliwa na Israel wenyewe kwa makombora ya ndege za kivita.. nimecheka sana
Wewe endelea kucheka Israel kunawaka moto.

⚡️Just to clarify a few things:

The ‘hostages’ found in Rafah by the ‘IDF’ are:

Hersh Goldberg, 23
Eden Yerushalmi, 24
Carmel Gat, 39
Almog Sarusi, 26
Alex Lubnov, 32
Ori Danino, 25

The claim that the prisoners were killed in the past 48 hours is misleading and comes from Israeli sources. In reality, they were killed a week ago during a failed rescue operation that occurred around the time of prisoner Farhat's return.

When it comes to Hersh Goldberg, He blamed Netanyahu in a video back in April and said that the israeli forces killed 70 ‘hostages’
 
Back
Top Bottom