Xtreme warts n stdsWakuu habari.
Kwanza niombe radhi kwa wote watakao jisikia vibaya kwa sababu ya picha hizi.
Nimekuta hii discussion sehemu lakini hakuna mwenye uelewa mzuri juu ya hii kitu.
Kwa mwenye ufahamu je huu ni ugonjwa gani? Unaambukizwaje? Na tiba yake ni ipi?
View attachment 472303
View attachment 472304
Inawapata sana watu ambao hawamalizi doze ama kudharau tibaMhh inaumiza sana ikikutokeaa hivyo ila hiyo k nouma
Asprin;
We mtoto unajifunza kuandika halaf unasoma mambo ya wakubwa?? Kwanza fumba macho usiitazame hiyo picha ukaota usiku. Acha makambaku yalozoea jembe la kulimia. Yalishakutana na visiki vingi kama hizo picha na yakapona.
Duh!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Asprin;
We mtoto unajifunza kuandika halaf unasoma mambo ya wakubwa?? Kwanza fumba macho usiitazame hiyo picha ukaota usiku. Acha makambaku yalozoea jembe la kulimia. Yalishakutana na visiki vingi kama hizo picha na yakapona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo atakuwa mganga wa kienyeji.
Tena umpate aliepiga gongo ikamchosha nywele lainiii ka za kisomali, anakutandika sindano kama katutana na maksai jeuri, lazma network ipotee kwa masaa kadhaa ila system ikirudi, unakuwa mpyaaaaaa, unatandika papuchi ka umemeza viagraSasa wewe mwanaume; unamfaham afisa mifugo yeyote kichaa? Mwendee ndiye dakitari wa hii kitu. Ila aamue muende mbali na watu. Akudunge ml.5/10kg BW za broad spectrum antibact. ulale hapo hapo masaa 4-6. Ukitoka hapo. Kidume kama kazi. Huko hosp ni uongo tu. Kitu itakatika hiyo. Pole zako
No 1...syphilis stage 3....ya pil n genital wats
Hahahaha waganga wa kienyeji siku hizi wameadvance sana asee..Huyo atakuwa mganga wa kienyeji.
Tena umpate aliepiga gongo ikamchosha nywele lainiii ka za kisomali, anakutandika sindano kama katutana na maksai jeuri, lazma network ipotee kwa masaa kadhaa ila system ikirudi, unakuwa mpyaaaaaa, unatandika papuchi ka umemeza viagra
Unachokisema mkuu kina ukweli dhahiri, kuna jamaa angu mmoja nusura kichwa kikatike sababu ya hii mambo, kilichomuokoa ni sindano toka kwa daktar wa mifugo, ilibidi adungwe sindano za mbwa ndo ikawa salama yake, sa izi yuko form vibaya.Mkuu;
Tulikutana na maswahibu hayo saana tu na tukatoka wapyaaaa. Waende huko kunako tafiti waone ka watapona.
Huwezi kuelewa kwa haraka mpaka nngekuwa umepiga kashule kidogo ka meds all in all genital wart kwa mdada huyo picha ya chini na huyo mkaka unaweza kuwa syphills katika stage ya 1 kuelekea ya pili,maana stage ya 3 ya kaswede huwa ni kwenye neurone,kwa Dada matibabu ni kuziondoka through surgery au cream special poleni ngono zembe ni hatariMadaktari wa JF mnatuchanganya wajameni...
Sijui nani hapo anasema ukweli??
Huwezi kuelewa kwa haraka mpaka nngekuwa umepiga kashule kidogo ka meds all in all genital wart kwa mdada huyo picha ya chini na huyo mkaka unaweza kuwa syphills katika stage ya 1 kuelekea ya pili,maana stage ya 3 ya kaswede huwa ni kwenye neurone,kwa Dada matibabu ni kuziondoka through surgery au cream special poleni ngono zembe ni hatari
Mbona wore wanasema kitu kimoja au wewe uaelewajeMadaktari wa JF mnatuchanganya wajameni...
Sijui nani hapo anasema ukweli??
Ww unaendaga hsptl zikiwa stage gani?!Mungu wangu, nmesisimka mwili mzma, hyo mwanamke ana genital warts alafu mpaka zinafkia hio stage alikua wap kwenda Hospital?
Hajui ww umeugua haya magonjwa toka serikali ya awamu ya kwnzUngekuwa unanifahamu vizuri, naamini ungeanza kwanza na kunipa heshima stahili kama wanayonipa wajukuu zangu wengine. Nimeshazoea kuamkiwa "shikamoo babu".
Kama una nidhamu, najua utanitaka radhi kuniita mtoto.
Ohooooo!!!Hajui ww umeugua haya magonjwa toka serikali ya awamu ya kwnz
Na enzi hizo ukiugua ulikuwa unatamba kitaa... kwamba wewe ni kitombi.Hajui ww umeugua haya magonjwa toka serikali ya awamu ya kwnz