Kitumbikwela
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 140
- 99
Kwa kifupi tuache ngono holela jamani kama una mchumba au mke wako tulia nae, manake ninachokiona hapo hata ukitumia kinga still bado kuna possibility ya kupata hayo magonjwa.Na kwa kifupi ukitumia choo cha kukaa ambacho anakitumia huyo mgonjwa lazima ukupate hata yale maji maji yake akikuingia tu ni soo
Kumbe tuko wengi[emoji85]Hakuna mpiga puchu ataumwa magonjwa haya, karibu chamani.
Bora hilo gegedo lakini hiyo papuchi[emoji85] [emoji85]Wakuu habari.
Kwanza niombe radhi kwa wote watakao jisikia vibaya kwa sababu ya picha hizi.
Nimekuta hii discussion sehemu lakini hakuna mwenye uelewa mzuri juu ya hii kitu.
Kwa mwenye ufahamu je huu ni ugonjwa gani? Unaambukizwaje? Na tiba yake ni ipi?
View attachment 472303
View attachment 472304
Acha masihara mkuu!HUU UGONJWA UNAITWA GYNOMEA....UNAAMBUKIZWA KWA KUANGALIA PICHA,KWAHIYO WOTE MLIONGALIA PICHA TAYAR MJIPIME
Sio pangusa hilo a.k.a halichachiWakuu habari.
Kwanza niombe radhi kwa wote watakao jisikia vibaya kwa sababu ya picha hizi.
Nimekuta hii discussion sehemu lakini hakuna mwenye uelewa mzuri juu ya hii kitu.
Kwa mwenye ufahamu je huu ni ugonjwa gani? Unaambukizwaje? Na tiba yake ni ipi?
View attachment 472303
View attachment 472304
Hicho kinaitwa silver nitrate pensil hicho kinatumika maeneo ya ngozi nyeusi huko V.I.P ni podofylin ina asilimia yake na ndio maana huwezi uziwa bila cheti cha dr na ina bei na unapakwa na dr au nursekuna kidude fulani kam peni, halafuwanakupaka mafuta ya vaseline ndo wanavigusa kimoja kimoja wanakichoma...
unakua unaskia ok tu..
baada ya hapo ,kama dk5 vinawasha moto utaomba uzame ardhini, hosp inabidi kuwe karibu wallah...
the unaambiwa ukae kwenye beseni la maji yaliyochanganywa na detol vinabanduka kila siku mpaka viishe
Mpaka dushe imeregea mzuka umekata ghafla!!podophln soln chemical ndio dawa... ila inakuacha na mchubuko
Uko sahihi kabisa hujakosea point...ila watakuja wabishajiSasa wewe mwanaume; unamfaham afisa mifugo yeyote kichaa? Mwendee ndiye dakitari wa hii kitu. Ila aamue muende mbali na watu. Akudunge ml.5/10kg BW za broad spectrum antibact. ulale hapo hapo masaa 4-6. Ukitoka hapo. Kidume kama kazi. Huko hosp ni uongo tu. Kitu itakatika hiyo. Pole zako
si kwel podophln inategemea na aina ya abbrasion....huwez kui apply kwnye ugonjwa ka huopodophln soln chemical ndio dawa... ila inakuacha na mchubuko
Ndio maana inatakiwa akuhudumie nusre au dr manake ikishamaliza kazi una paka silverex cr na antibiotic unameza ili kukausha kidonda na kuuwa bakteriapodophln soln chemical ndio dawa... ila inakuacha na mchubuko
Sasa mdau si ina asilimia zake za ukali kutokana na ugonjwa umekuathiri kiasi gani .si kwel podophln inategemea na aina ya abbrasion....huwez kui apply kwnye ugonjwa ka huo