Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Rais was kwanza wa Tanzania Mwalimu Nyerere alitembelea Vatican 1963 na kuonana na Baba Mtakatifu.Papa Yohane VI
Nimekuwekea picha
Nimekuwekea picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MoUMwalimu Nyerere alitembelea Vatican 1963 na kuonana na Baba Mtakatifu.Papa Yohane VI
View attachment 2160923
Ni Rais na ni kiongozi wake wa kiroho.. hapo alipiga goti kama kiongozi wa kirohoRais anampgia magoti rais kama yeye..hiyo knealing siielewi.
Hiyo si ofisi ya rais wa vatikan, ni kiti kitakatifu cha papa na ni mahal patakatifuRais anampgia magoti rais kama yeye..hiyo knealing siielewi.
Baba Mtakatifu.Papa Yohane VIRais anampgia magoti rais kama yeye..hiyo knealing siielewi.
😄😄😄😄. wana tatizo gani na iyo picha mzeeNgoja wavaa kobazi waje.....
Mungu chini ya jua anasalimiana na MswahiliMbona kama wamevaa glavuzi?
Wasubiri waje utajionea....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. wana tatizo gani na iyo picha mzee
wakija nishtue.Wasubiri waje utajionea....
Alipiga goti kwa mamlaka inayowakilishwa yaani ni sawa na Padre anapokuwa ibadani au pale anapotamka maneno ya kubadili mkate kuwa divai, si yeye anabadili bali anasimama kwa niaba ya mamlaka anayoiwakilisha.. 🙏🙏Ni Rais na ni kiongozi wake wa kiroho.. hapo alipiga goti kama kiongozi wa kiroho
😂😅😆😁😄🤣😃😀😁😁 Unapiga Ugoko Muda Huu Naku~ZoomMungu chini ya jua anasalimiana na Mswahili
Dini Ya Haki!!Ngoja wavaa kobazi waje.....
Ngoja Kwanza...Rais anampgia magoti rais kama yeye..hiyo knealing siielewi.
Wazee wa ilimuDini Ya Haki!!
Ilimu Dunia Na AheraWazee wa ilimu