Pichani ni mwaka 1937. kwa mara ya kwanza wanawake wawili walivaa nguo fupi na kupita barabarani walisababisha ajali

Ulaya ya Mwaka 1937 bado ni pazuri kuliko Bongo ya 2020..
 
Zamani kulikua hakuna nguo kabisa, magome ya miti yalikua ndio nguo, kitakua cha ajabu nini kwa hao watu wa zamani wakati walikua wanatembea uchi...
Imagine
 
Halafu wakati huo kulikuwa hakuna ukimwi kulikuwa na magonjwa mengine tu ya zinaa
ambayo nayo kuyapata ilikua ni mziki,mtu kama cassanova alitafuta papuchi za kila aina lakini hakuna kwenye historia taarifa kwamba alipata magonjwa,jamaa kala zaidi ya papuchi 1000
 
Tayari ushajifunza tabia mbaya huku
ambayo nayo kuyapata ilikua ni mziki,mtu kama cassanova alitafuta papuchi za kila aina lakini hakuna kwenye historia taarifa kwamba alipata magonjwa,jamaa kala zaidi ya papuchi 1000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…