Picture remake(Wakati huo na sasa)

Uzi mzuri,maisha ni safari ya muda tu hapa duniani,kuna ya kujifunza kupitia uzi huu.
Nje ya Mada:

Umenikumbusha habari Fulani ya huyu mzee aliyekua anakufa(Akiwa na miaka 87) last wish yake ilikua kunywa via na wanae kabla hajachomolewa mashine. Na waliitekeleza. Wakapiga na picha akapumzika na smile kubwa sana
Hakuna kusudio kubwa tuliloletwa duniani kwayo, zaidi ya kuacha vizazi vyako vikiishi kwa furaha na upendo. Uache kumbukumbu. Wabongo wengi hatuweki rekodi sahihi ya kumbukumbu zetu

Au kuna picha kama hizi pia ukiziangalia kiundani huwa zina ujumbe mkubwa sana(Mie ni mpenzi wa picha sana)

Nikipata muda ntaanzishia Uzi wake na zenyewe. Hapo ni picha ya vizazi vinne kutoka kitukuu😍😍
 
Mtoa mada haujawahi kuniangusha kwenye masuala ya picha
 
Hiyo picha ya huyo babu ndo imenisikitisha 🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…