Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwqmba ilipakwa rangi hadi kwenye maji?View attachment 1804690
Hong Kong
Kutoka kuwa Jaya Bhaduri mpaka kuwa Jaya Bachchan.
Daah,aiseee ...Nje ya Mada:
Umenikumbusha habari Fulani ya huyu mzee aliyekua anakufa(Akiwa na miaka 87) last wish yake ilikua kunywa via na wanae kabla hajachomolewa mashine. Na waliitekeleza. Wakapiga na picha akapumzika na smile kubwa sanaView attachment 1805188
Hakuna kusudio kubwa tuliloletwa duniani kwayo, zaidi ya kuacha vizazi vyako vikiishi kwa furaha na upendo. Uache kumbukumbu. Wabongo wengi hatuweki rekodi sahihi ya kumbukumbu zetu
Au kuna picha kama hizi pia ukiziangalia kiundani huwa zina ujumbe mkubwa sana(Mie ni mpenzi wa picha sana)
View attachment 1805191
Nikipata muda ntaanzishia Uzi wake na zenyewe. Hapo ni picha ya vizazi vinne kutoka kitukuu[emoji7][emoji7]
DahYeah kama hawa walipiga pozi lile lile tarehe ile ile miaka 51 baadaeView attachment 1805919hii ndo ile Forever and for always[emoji23]
2020 hapana, huyo mtoto ni wa kumzaa,anaitwa david jr.huyo aliyeokotwa anaitwa hope.View attachment 1805929
Story ya yule dogo aliyeokotwa mtaani na mtalii
Black aliyeokotwa,halfcast ndiye mwanawe.kwahiyo picha ya 2020 si sahihiView attachment 1805929
Story ya yule dogo aliyeokotwa mtaani na mtalii
Nimeshangaa hiyo picha ya norway bado maji yapo bembeni ya barabara wakati sisi huku mito imegeuka njia za kupitia ng'ombeLike I said hapo juu. Ukiangalia nchi za ulaya wanatunza sana majengo yao ya asili na nature
Mwamba karudi na kichupi vilevileView attachment 1805100
Miaka 23 baadae na mshua
Anapiga kilaji na sio nyonyo tenaView attachment 1805105
Mtoto amekua[emoji23][emoji23]