Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Katika hali ya kushangaza isiyo tarajiwa na wadau wa likwid.jana mzee wa likwid alizungumza na wanahabari kutuma salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka huku akiwaomba watanzania wasimsahau hususani katika kipindi hiki ambcho yupo injury
Mzee wa likwidi ambaye sasa ni antena ndani ya suruali alionekana katika kiwanja chake kwa dakika chache kisha kurudi nyumbani.
Aidha amewataka mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumchangia chochote aende check up india kuangalia maendeleo ya injury ya mguu
Kuputia kwa mdhamini wake mkuu wanafanya utaratibu kuomba kibali cha kwenda kuonana na mzee pale magogoni
Tuendelee kumwombea dua wakati tunatafuna mpunga wa Christmas na yeye tumkumbuke
Huyo ndiye pierre konko mzee wa likwid ambaye kwa sasa ni antena ndani ya surual
Mzee wa likwidi ambaye sasa ni antena ndani ya suruali alionekana katika kiwanja chake kwa dakika chache kisha kurudi nyumbani.
Aidha amewataka mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumchangia chochote aende check up india kuangalia maendeleo ya injury ya mguu
Kuputia kwa mdhamini wake mkuu wanafanya utaratibu kuomba kibali cha kwenda kuonana na mzee pale magogoni
Tuendelee kumwombea dua wakati tunatafuna mpunga wa Christmas na yeye tumkumbuke
Huyo ndiye pierre konko mzee wa likwid ambaye kwa sasa ni antena ndani ya surual