Pierre konki mzee wa likwid atuma salamu za Christmas na mwaka mpya

Pierre konki mzee wa likwid atuma salamu za Christmas na mwaka mpya

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Katika hali ya kushangaza isiyo tarajiwa na wadau wa likwid.jana mzee wa likwid alizungumza na wanahabari kutuma salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka huku akiwaomba watanzania wasimsahau hususani katika kipindi hiki ambcho yupo injury
Mzee wa likwidi ambaye sasa ni antena ndani ya suruali alionekana katika kiwanja chake kwa dakika chache kisha kurudi nyumbani.

Aidha amewataka mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumchangia chochote aende check up india kuangalia maendeleo ya injury ya mguu

Kuputia kwa mdhamini wake mkuu wanafanya utaratibu kuomba kibali cha kwenda kuonana na mzee pale magogoni

Tuendelee kumwombea dua wakati tunatafuna mpunga wa Christmas na yeye tumkumbuke
IMG_20181225_114257.JPG


Huyo ndiye pierre konko mzee wa likwid ambaye kwa sasa ni antena ndani ya surual
 
Katika hali ya kushangaza isiyo tarajiwa na wadau wa likwid.jana mzee wa likwid alizungumza na wanahabari kutuma salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka huku akiwaomba watanzania wasimsahau hususani katika kipindi hiki ambcho yupo injury
Mzee wa likwidi ambaye sasa ni antena ndani ya suruali alionekana katika kiwanja chake kwa dakika chache kisha kurudi nyumbani.

Aidha amewataka mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumchangia chochote aende check up india kuangalia maendeleo ya injury ya mguu

Kuputia kwa mdhamini wake mkuu wanafanya utaratibu kuomba kibali cha kwenda kuonana na mzee pale magogoni

Tuendelee kumwombea dua wakati tunatafuna mpunga wa Christmas na yeye tumkumbukeView attachment 976773

Huyo ndiye pierre konko mzee wa likwid ambaye kwa sasa ni antena ndani ya surual
waandishi wa habari siku hizi naona ni wapuuzi sana.kuna mambo mengi ya kuleta habari na kuhibua changamoto hata matatizo yanayo kabili.lakini unaenda kumfatilia mlevi na mpaka nyimbo anatungiwa.halafu kesho mnata mpate tuzo za habari
 
No days talent matter than knowledge
waandishi wa habari siku hizi naona ni wapuuzi sana.kuna mambo mengi ya kuleta habari na kuhibua changamoto hata matatizo yanayo kabili.lakini unaenda kumfatilia mlevi na mpaka nyimbo anatungiwa.halafu kesho mnata mpate tuzo za habari
 
Back
Top Bottom