KWELI Pierre Liquid ni mgonjwa, asema yupo nyumbani anajiuguza (Agosti 11, 2022)

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Mwamba mtu poa sana naumbuka 2019 alitupigia promo kwenye kakibanda chetu cha vifaa vya simu, ilitupush sana enzi hizo
 
Ushaona wapi mtu anayekunywa namna ile ili atoke akabaki salama? Labda atoke kabisa dunia kwa kuharibu miundombinu ya mwili wake. Kuna mambo hayana longolongo, kama afya.
Kuna wazee ni walevi umbwa Toka wakiwa watoto tena sio bia ni gongo na pombe chafu nyingine lakini Sasa wanamika 70 na bado walevi njoo vingunguti utajionea kifo na maradhi ni fumbo kwanza sioni kama huyo jamaa kama alikuwa mlevi kupitiliza
 
umeongea kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…