Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni vigumu kuamini kwamba ndugu zako wote 14 wamekuambia ukweli wakati kura ni kitendo cha siri. Mtu anaweza kufika pale na akampa kura yake Kikwete au mgombea mwingine yeyote. Ningekuwa mimi kwa kutumia hesabu za yamkini (probability) hapo ungesema una kura 8 na zingine sita huna uhakika nazo kwa sababu ya tabia ya binadamu usiri na kubadilikabalika( kigeugeu).
Kwa wale wanaotumia Zain kuna huduma ya bure ya sms 100 kila siku usiku baada ya saa 6 kamili. Tumia nafasi hiyo usilale. Tuma message kwa watu 100 unaowafahamu na kuwakumbusha kwamba nchi inaelekea katika mabadiliko makubwa na haya mabadiliko yatakuja kwa kumuingiza ikulu ya Tanzania Dr Slaa. CHAGUA DR SLAA CHAGUA CHADEMA CHAGUA MABADILIKO CHAGUA MAENDELEO YA TANZANIA.
mimi si mzuri sana katika kudraft msg zenye ushawishi, kama kuna mtu anaweza kuweka template hapa, nami nitazituma leo kwa watu 100 kupitia laini yangu ya tigo
Nilitaza kipindi, aisee kaelimisha sana naametoa dvd zinauzwa nilicopy DVD 20 nikawa wawia ndungu na jamaa ambao walikuwa wagumu lakini baada ya kuitazama naona wamelainika ila mnisamie kwa kukopy dvd kakobe....Mh Kakobe namsifu sana kwa kutoa elimu ya uraia nzuri sana....kwa ambao hawakuona waangalie star tv kesho saa tatu kamili usiku na unaweza kutumia hiyo kuwaconvince watu wengine..wambie waangalie tv muda huo basi na baada ya lipindi watakuwa wamebadilika.....
Mh Kakobe haongei kama mtu wa kawaida bali ni Upako usio wa kawaida na impact yake ni kubwa sana....
KURA LAZIMA ZITATOSHA TU....just play your part ikiwa ni pamoja na kuchangia chama kipate fedha kiendelee na kampeni...
<LI class="uiUfiComment comment_1697954 ufiItem ufiItem">Lisa M Rockefeller All Tanzanian's both in and outside the country, please take a phone call one or two of your family members, let them know their vote counts, and they should send the message to all they know that Kikwete does not deserve a second chance, dont be intimidated, your ballot power is more powerful than their tear gases. i have just recived a text from a friend in Mumbeya that, they have been tear gased. this it the family that kept me in Tanzania, and their son locked up 7 minutes ago · LikeUnlike