Piga Kura

Piga Kura

# aliye kati - huyu kwake mahari ili yakamilike lazima pawepo geleni/ dumu la pombe, ni mlevi mbwaa.

# kushoto - ni mkulima wa zamani, anachohitaji yeye ni hela ya pembejeo.

#kulia - mshirikina, atapokea mahari lakini harusi haitofanyika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom