Piga ua galagaza, hata bure siwezi kulala na binti wa uswahilini

Kwa domo zege , pesa manati au dalili za [emoji304] hawa sio. Wana kaubabe fulani, ni kula na kulipa, na ujitume sio mpaka uwashiwe feni iwe inakupuliza nyuma[emoji2089][emoji2089]
Una experience ya kutokewa na hayo uliyoandika?
 
[emoji23][emoji23] hiyo avatar ndo wewe?
 
 
Una dharau Sana bwana mkubwa[emoji3][emoji3]
 
Wajanja ila ukiwa mjanja mbona unawagundua chap tu!![emoji23]
Labda jamaa ana sumaku ya kujua mbususu za huko ambalo hakutaki. Yaani anajua ladha za kila mtaa ,atakuwa Ni experts. Kama kule Kijijini kwetu Kuna wazee wakila nyama ya mnyama fulani utasikia anakuambia hii mbuzi Ni kiribho ama ghibaso
 
Bado nasubiri link mkuu [emoji3]
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…