Piga ua galagaza, hata bure siwezi kulala na binti wa uswahilini

Piga ua galagaza, hata bure siwezi kulala na binti wa uswahilini

mabinti wa uswahilini wanashika mimba acha tu.
yani kama unataka kutest uzazi wako unafanya kazi



Sababu wengi hawajasoma Kwa hiyo hawajui kuchukua tahadhari au ?

Pia huenda wanawachomekea?!
 
Mleta mada kamtembelea mjombake masaki eti leo anaponda uswahilini...primitive nonsense!
 
Haya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.

Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.

Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Demu ukimpa kiepe yai unakula... gharama kubwa sana kijora cha 7000 umemtekaaa.... vocha ya jero.. (wanatumia vitochi).. hana zile baby baby we muite umle.. ukimkuta mchafu mkalishe chini muelekeze atabadilika.. atakupenda atakuheshimu... Karibu Manzese Midizini
 
Nguvu zakiume hana huyu ndivo walivo! sasa hapo anaogopa atatangazwa kila kona! na uswahilini hawana dogo! eti unapata demu unazua kilio cha kumkumbuka Bibi yako mweee! ina huuuu?
 
Nguvu zakiume hana huyu ndivo walivo! sasa hapo anaogopa atatangazwa kila kona! na uswahilini hawana dogo! eti unapata demu unazua kilio cha kumkumbuka Bibi yako mweee! ina huuuu?
Of course sina hizo nguvu. Ila still siwataki
 
Mademu wa Uswazi ndio wanaoenda kujiuza Masaki, Oysterbay, Msasani Peninsula, Mbezi Beach, Bahari Beach na ushuani kote, halafu hujipachika majina ya Kimagharibi
Sasa kwanini umemsanua mapema? Anajikuta wakishua ukute keshabebeshwa gono
Oyster bay akijua bahati mbaya kumbe Ashura kamfata huko
Huko😂😂😂

Kwani wao hawajui viwanja vya bei? Kule kwao si 1000-3000 sasa masaki unatoa 50,000 na gonjwa unabeba. Tulieniii makwenu
 
95% ya Dar ni uswazi, sijui mwandishi wa thread unaandika ukiwa wapi tafadhali...
 
Kwa domo zege , pesa manati au dalili za [emoji304] hawa sio. Wana kaubabe fulani, ni kula na kulipa, na ujitume sio mpaka uwashiwe feni iwe inakupuliza nyuma[emoji2089][emoji2089]
 
Si umekua nao?? unaishi nao! utazikw nao! wonderfull enough huwataki! unahitaji kutubiwa km hutaki watu! wa kwenu! nani atakupikia sasa?
Swali lako linachekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swali lako linachekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kichekesho hapo!! rudi kwa ndugu zako uswahilini wewe! ...chai ya mjomba Masaki ina mwisho! usijione weye km wao! sawa?? wanavijiji ndo mlivyo! ukionja VX la kiyoyozi na kutibiwa Aghakan kwa kadi ya Mjomba baaasi!

umeulaaaa! weweeee!........ unaanza sema hovyo!........Kiingereza cha form two kwa sana!...tunawajuaga sisi kirahisi sana!
 
hakuna mabint wenye experience ya kukulana kama masem wa uswazi, aiseee sisi tunainjoi sana, unafinyiwa kwa ndani adi nyumba unaisahau
 
Back
Top Bottom