Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wana kila aina ya utundu wale kitandani amsha amsha kama zoteWa uswazi wanajuaga kukatika balaa,
Tatizo la Hao civilized wanaletaga ustaarabu Hadi kwenye mizagamuano[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana kila aina ya utundu wale kitandani amsha amsha kama zoteWa uswazi wanajuaga kukatika balaa,
Tatizo la Hao civilized wanaletaga ustaarabu Hadi kwenye mizagamuano[emoji4]
mabinti wa uswahilini wanashika mimba acha tu.
yani kama unataka kutest uzazi wako unafanya kazi
[emoji1787]Pumbavu sana ww kwa kitu gani ulichokua nacho zaidi ya govi
Demu ukimpa kiepe yai unakula... gharama kubwa sana kijora cha 7000 umemtekaaa.... vocha ya jero.. (wanatumia vitochi).. hana zile baby baby we muite umle.. ukimkuta mchafu mkalishe chini muelekeze atabadilika.. atakupenda atakuheshimu... Karibu Manzese MidiziniHaya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Of course sina hizo nguvu. Ila still siwatakiNguvu zakiume hana huyu ndivo walivo! sasa hapo anaogopa atatangazwa kila kona! na uswahilini hawana dogo! eti unapata demu unazua kilio cha kumkumbuka Bibi yako mweee! ina huuuu?
Si umekua nao?? unaishi nao! utazikw nao! wonderfull enough huwataki! unahitaji kutubiwa km hutaki watu! wa kwenu! nani atakupikia sasa?Of course sina hizo nguvu. Ila still siwataki
Nimehuzunika sana kuona jina langu mtoa mada amelizungumziaWe haujawahi kutana na mauno ya "Mwajuma Kiswaswadu" weeeeeeeeeeh. Acha kabisa.
Sasa kwanini umemsanua mapema? Anajikuta wakishua ukute keshabebeshwa gonoMademu wa Uswazi ndio wanaoenda kujiuza Masaki, Oysterbay, Msasani Peninsula, Mbezi Beach, Bahari Beach na ushuani kote, halafu hujipachika majina ya Kimagharibi
we mgalatia eeMwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai
Swali lako linachekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]Si umekua nao?? unaishi nao! utazikw nao! wonderfull enough huwataki! unahitaji kutubiwa km hutaki watu! wa kwenu! nani atakupikia sasa?
Hakuna kichekesho hapo!! rudi kwa ndugu zako uswahilini wewe! ...chai ya mjomba Masaki ina mwisho! usijione weye km wao! sawa?? wanavijiji ndo mlivyo! ukionja VX la kiyoyozi na kutibiwa Aghakan kwa kadi ya Mjomba baaasi!Swali lako linachekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]