yoteyametimia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2022
- 210
- 262
Naona jina langu hapo, nimekukosea nn mkuu š„“
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinikumbushe mwaka jana tu nilikwaa gono toka kwa binti wa 17 years!Wanaume tuna kikao leo saa 7 mchana maana hili gono litatuua sasa
Nakazia.wewe unayechagua pa kuogelea sio muogeleaji wa kimataifa
mie naweka tu
Ni busara ungejiongelea peke yako. Mimi ndiyo nipo hivyo sasa, we' kama ni zoa zoa hiyo ni kimpango wako.mtoa mada unajifagilia tu ili uonekane unaringa kinyamwezi.
kiASILI, kati ya mwanaume na mwanamke, ambaye hana kinyaa cha kufanya mapenzi na mtu wa tabaka lolote tofauti na yeye ni mwanaume. mwanaume hata awe na hela vipi, anafanya mapenzi na mwanamke yeyote hata kilema au chizi. tofauti na mwanamke, mwanamke ana kinyaa cha kufanya mapenzi na tabaka lolote. mwanamke mwenye hela hawezi fanya mapenzi na chizi wala kilema, atatafuta mwenye hela mwenzie.
kwahiyo mtoa mada jifurahishe tu kwa kujisifia.
wanaume hatuna kinyaa cha kufanya mapenzi na wanawake tabaka lolote lile.
Nancy kama Nancyš¤£Mademu wa Uswazi ndio wanaoenda kujiuza Masaki, Oysterbay, Msasani Peninsula, Mbezi Beach, Bahari Beach na ushuani kote, halafu hujipachika majina ya Kimagharibi
Kwanza kijana wewe unakaa wapi maana huko ndio wanapoishi Mama zako na Shangazi zakoHaya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Limerudi kwa kasi kuwa makiniHivi gono limerudi tena kwa wingi? Nakumbuka miaka ya nyuma hakuna mwanaume rijali ambaye alikuwa hajaugua gono. Infact vijana wakikaa sehemu kupiga story za wanawake na mmoja aseme hajaugua gono alikuwa anaokekana kama fala fulani. cc Mshana Jr Kuugua gono ilikuwa kama certificate ya uanaume uliokamilika.
Nipo kiongoziMkuu upo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daahUsinikumbushe mwaka jana tu nilikwaa gono toka kwa binti wa 17 years!
Hahahaha ngoja waje wavaa kobasi maana si kwa majina hayo.Haya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Hakika ni gono kalikwaaaWanaume tuna kikao leo saa 7 mchana maana hili gono litatuua sasa
Pumbavu sana ww kwa kitu gani ulichokua nacho zaidi ya goviHaya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Wanasema hamchelewi kushika mimba..!! Sasa mtu hatumii kondomu, na anamfanya mwenzie siku za mimba, sijui anategemea nini hapo..!!!Wauswazi tunakuwaje?
Mtajibebaaaa dyadyaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wauswazi tunakuwaje?
Ulikula ban hatimaye umefufuka[emoji23]Mtajibebaaaa dyadyaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Domo zege atasema nini?? kwani weye Mzungu?....kila anaye ishi uzunguni km Masaki asili yao ni uswahilini tuuu! Bakhresa leo anaishi uzunguni lkn alianzia maisha uswahilini! akiwa fundi viatu pyuu!Haya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
HongeraDomo zege atasema nini?? kwani weye Mzungu?....kila anaye ishi uzunguni km Masaki asili yao ni uswahilini tuuu! Bakhresa leo anaishi uzunguni lkn alianzia maisha uswahilini! akiwa fundi viatu pyuu!
Nyerere alifia Msasani lkn alianzia uswahilini maisha! tena paleee Magomeni na familia yake! wewe naniiiiiiiiiiiiii!!...Uswahilini Hoyeeeee! nikija huko kituo cha kwanza Mbagalla! mashenzini!
nsito sahau uwanja wa fisi! Manzese, Mabibo farasi jamani mweee! kiti moto ya huko tamuuu sana!...kipawa kwa Mangii! Kwa azizi ally bondeni jamani! VIdem uswahilini raha sana! niseme nini mie!