Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Kuanzia Ma-afsa utumishi mpaka wakurugenzi wamehongwa kuzuia watu wasihame hicho cha
Ni takataka sana haoKuanzia Ma-afsa utumishi mpaka wakurugenzi wamehongwa kuzuia watu wasihame hicho chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia Ma-afsa utumishi mpaka wakurugenzi wamehongwa kuzuia watu wasihame hicho cha
Ni takataka sana haoKuanzia Ma-afsa utumishi mpaka wakurugenzi wamehongwa kuzuia watu wasihame hicho chama
Hahahaha! Hatari sana. Sasa kama walimu wanashindwa kujipambania, je, wataweza kuzalisha wasomi wenye uwezo wa kuhoji?Sahihi kabisa. Moja ni jizi sugu (CWT). Hili linakula kimasihara tu 2% ya basic salary ya mshahara wa mwalimu aliyeko serikalini kila mwezi. Na hili jizi kwa miaka nenda limekuwa likilindwa na serikali ya ccm!
Kajizi kengine ni hako ka Chakuhawata. Haka ni kajizi kapya kabisa! Mana kameingia rasmi kwenye ulaji mwaka huu wa 2023 kama sijakosea. Na walau haka kajizi kapya kanapendwa na walimu walio wengi, kwa sababu kenyewe kanaiba 5000/= tu kila mwezi kwenye basic salary ya mwalimu mnyonge wa nchi hii.